Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
Hii itakuwa mwongozo mzuri sana kwa kulinganisha na huu uchakachuaji wa kipumbavu. Naungana na wale waliosema wangetamani kuwa ma sniper. Naamini ndicho dk waukweli na timu yake ndicho wanachofanya