Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Ripoti ya Haki za Binadamu na Biashara ya mwaka 2018/19 iliyozinduliwa leo Novemba 14, na Kituo cha Sheria na Haki za Bindamu (LHRC) imebainisha hayo.
Asilimia 84 ya wafanyakazi hawana mikataba ya ajira ikilinganishwa na asilimia 74 ya mwaka jana.
Pia imeonyesha kuwa kampuni zinazomilikiwa na watu wenye asili ya Asia zinaongoza kwa ubaguzi kwa asilimia 43.
Asilimia 84 ya wafanyakazi hawana mikataba ya ajira ikilinganishwa na asilimia 74 ya mwaka jana.
Pia imeonyesha kuwa kampuni zinazomilikiwa na watu wenye asili ya Asia zinaongoza kwa ubaguzi kwa asilimia 43.