beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Kwa Mujibu wa Takwimu za Umoja wa Mataifa (UN) kufikia Novemba 2022, idadi ya Watu Duniani inakadiriwa kuwa Bilioni 8. Ongezeko la Watu katika Nchi nyingi zenye Uchumi wa Chini linakadiriwa kuongezeka mara mbili zaidi kati ya Mwaka 2022 na 2050
Kufikia Mwaka 2022, idadi ya Wanaume Duniani ilikadiriwa kuwa kubwa kuliko ya Wanawake. Nchi 10 zenye idadi kubwa zaidi ya Watu ni China, India, Marekani, Indonesia, Pakistan, Nigeria, Brazil, Bangladesh, Urusi na Mexico
Tangu Mwaka 1990 - 2022, Nchi nne zilizotajwa kuwa na Watu wengi zaidi ni China (Bilioni 1.42), India (Bilioni 1.41), Marekani (Milioni 337) na Indonesia (Milioni 275)
Hata hivyo, India inakadiriwa kuwa Nchi yenye watu wengi zaidi kufikia 2050 ikifuatiwa na China, Marekani na Nigeria inayotarajiwa kuwa na Watu Milioni 375
Kwa Mtazamo wako, unadhani Mataifa ya Uchumi wa Kati/Chini yanajipanga ipasavyo katika utoaji Huduma muhimu kadiri idadi ya Wananchi inavyoongezeka?
======
The world’s population is projected to reach 8 billion on 15 November 2022
The latest projections by the United Nations suggest that the global population could grow to around 8.5 billion in 2030, 9.7 billion in 2050 and 10.4 billion in 2100
The 46 least developed countries (LDCs) are among the world’s fastest-growing. Many are projected to double in population between 2022 and 2050, putting additional pressure on resources and posing challenges to the achievement of the Sustainable Development Goals (SDGs)
More than half of the projected increase in global population up to 2050 will be concentrated in just eight countries: the Democratic Republic of the Congo, Egypt, Ethiopia, India, Nigeria, Pakistan, the Philippines and the United Republic of Tanzania
Disparate growth rates among the world’s largest countries will re-order their ranking by size.
The population of 61 countries or areas are projected to decrease by 1 per cent or more between 2022 and 2050
In countries with at least half a million population, the largest relative reductions in population size over that period, with losses of 20 per cent or more, are expected to take place in Bulgaria, Latvia, Lithuania, Serbia and Ukraine
China is expected to experience an absolute decline in its population as early as 2023. Globally, the world counts slightly more men (50.3 per cent) than women (49.7 per cent) in 2022. This figure is projected to slowly invert over the course of the century. By 2050, it is expected that the number of women will equal the number of men
Chanzo: World Population Prospects 2022
Kufikia Mwaka 2022, idadi ya Wanaume Duniani ilikadiriwa kuwa kubwa kuliko ya Wanawake. Nchi 10 zenye idadi kubwa zaidi ya Watu ni China, India, Marekani, Indonesia, Pakistan, Nigeria, Brazil, Bangladesh, Urusi na Mexico
Tangu Mwaka 1990 - 2022, Nchi nne zilizotajwa kuwa na Watu wengi zaidi ni China (Bilioni 1.42), India (Bilioni 1.41), Marekani (Milioni 337) na Indonesia (Milioni 275)
Hata hivyo, India inakadiriwa kuwa Nchi yenye watu wengi zaidi kufikia 2050 ikifuatiwa na China, Marekani na Nigeria inayotarajiwa kuwa na Watu Milioni 375
Kwa Mtazamo wako, unadhani Mataifa ya Uchumi wa Kati/Chini yanajipanga ipasavyo katika utoaji Huduma muhimu kadiri idadi ya Wananchi inavyoongezeka?
======
The world’s population is projected to reach 8 billion on 15 November 2022
The latest projections by the United Nations suggest that the global population could grow to around 8.5 billion in 2030, 9.7 billion in 2050 and 10.4 billion in 2100
The 46 least developed countries (LDCs) are among the world’s fastest-growing. Many are projected to double in population between 2022 and 2050, putting additional pressure on resources and posing challenges to the achievement of the Sustainable Development Goals (SDGs)
More than half of the projected increase in global population up to 2050 will be concentrated in just eight countries: the Democratic Republic of the Congo, Egypt, Ethiopia, India, Nigeria, Pakistan, the Philippines and the United Republic of Tanzania
Disparate growth rates among the world’s largest countries will re-order their ranking by size.
The population of 61 countries or areas are projected to decrease by 1 per cent or more between 2022 and 2050
In countries with at least half a million population, the largest relative reductions in population size over that period, with losses of 20 per cent or more, are expected to take place in Bulgaria, Latvia, Lithuania, Serbia and Ukraine
China is expected to experience an absolute decline in its population as early as 2023. Globally, the world counts slightly more men (50.3 per cent) than women (49.7 per cent) in 2022. This figure is projected to slowly invert over the course of the century. By 2050, it is expected that the number of women will equal the number of men
Chanzo: World Population Prospects 2022