Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 6,982
- 14,746
Mambo mengine usiyo yajua bora ukae kimya, haya Majasusi wengi wa Tanzania wamefadhiliwa mafunzo bure na Nchini Libya na Gadaffi.....Tuache kuficha ukweli Katufanyia mengi yapi zaidi ya kampeni yake ya kujenga misikiti Tz?
Pesa alizotulipa ni zile alizozipiga Jasusi wetu BM?