Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 50,721
- 39,939
Wanaukumbi.
Ripota wa Israel anatoa maoni yake kuhusu video hii:
"Nataka tu kuuliza kwa upole: Je, Israel imekuwa ikishambulia kwa mabomu kwa siku 450 huko Gaza? Hamas inaonekana kuwa katika nafasi nzuri kana kwamba haikupigana vita dhidi ya jeshi la Israel." Hii video ya Hamas leo Jumapili wakipita mitaa ya Gaza.
Jesh letu lilikuwa linapigana na nani?
View: https://x.com/hureyaksa/status/1880932920422019528?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Ripota wa Israel anatoa maoni yake kuhusu video hii:
"Nataka tu kuuliza kwa upole: Je, Israel imekuwa ikishambulia kwa mabomu kwa siku 450 huko Gaza? Hamas inaonekana kuwa katika nafasi nzuri kana kwamba haikupigana vita dhidi ya jeshi la Israel." Hii video ya Hamas leo Jumapili wakipita mitaa ya Gaza.
Jesh letu lilikuwa linapigana na nani?
View: https://x.com/hureyaksa/status/1880932920422019528?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw