Ripota wa Israel anauliza kuhusu hii video ya Hamas, Israel ilishambulia kwa mabomu siku 450 huko Gaza walikuwa wanapigana na nani?

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
50,721
39,939
Wanaukumbi.

Ripota wa Israel anatoa maoni yake kuhusu video hii:

"Nataka tu kuuliza kwa upole: Je, Israel imekuwa ikishambulia kwa mabomu kwa siku 450 huko Gaza? Hamas inaonekana kuwa katika nafasi nzuri kana kwamba haikupigana vita dhidi ya jeshi la Israel." Hii video ya Hamas leo Jumapili wakipita mitaa ya Gaza.

Jesh letu lilikuwa linapigana na nani?


View: https://x.com/hureyaksa/status/1880932920422019528?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Tunafurahia kuona wanagaza wakigaragazwa na kufanywa kitoeo cha funza na mavumbi

Hivyo basi,

Tunawaaasa waisrael waendelee kuwaponda vibaraka wenu wenye itikadi za kitapeli.

Haijalishi anapiga nini ila tunachojua mabwana zenu wamekufa wengi.

VIVA DUNIA HURU, VIVA JUDA, VIVA ISRAEL, VIVA NATO
 
Tunafurahia kuona wanagaza wakigaragazwa na kufanywa kitoeo cha funza na mavumbi

Hivyo basi,

Tunawaaasa waisrael waendelee kuwaponda vibaraka wenu wenye itikadi za kitapeli.

Haijalishi anapiga nini ila tunachojua mabwana zenu wamekufa wengi.

VIVA DUNIA HURU, VIVA JUDA, VIVA ISRAEL, VIVA NATO
Muisrael mweusi wa Bunda anatoa tamko.
 
Tunafurahia kuona wanagaza wakigaragazwa na kufanywa kitoeo cha funza na mavumbi

Hivyo basi,

Tunawaaasa waisrael waendelee kuwaponda vibaraka wenu wenye itikadi za kitapeli.

Haijalishi anapiga nini ila tunachojua mabwana zenu wamekufa wengi.

VIVA DUNIA HURU, VIVA JUDA, VIVA ISRAEL, VIVA NATO
⚡️⭕️ Mwandishi wa habari wa Kizayuni Zvi Yehezkeli:

- Ninapotazama video za wanamgambo wa #Hamas kati ya watu wenye furaha na sisi tukiwa na hasira, nagundua kuwa hatujafanya lolote kwa mwaka mmoja na miezi 5. Tuliharibu nyumba tu na kuwafiwa watoto wetu.

- Hatukuiondoa #Hamas na hatukufanikiwa chochote
Katika Mashariki ya Kati, usipotimiza jambo fulani, itabidi ulitimize baadaye na kwa gharama ya damu yetu
 
⚡️⭕️ Mwandishi wa habari wa Kizayuni Zvi Yehezkeli:

- Ninapotazama video za wanamgambo wa #Hamas kati ya watu wenye furaha na sisi tukiwa na hasira, nagundua kuwa hatujafanya lolote kwa mwaka mmoja na miezi 5. Tuliharibu nyumba tu na kuwafiwa watoto wetu.

- Hatukuiondoa #Hamas na hatukufanikiwa chochote
Katika Mashariki ya Kati, usipotimiza jambo fulani, itabidi ulitimize baadaye na kwa gharama ya damu yetu
Haha mnatoaga vitamshi vya kuwatia nguvu na faraja

Bila ya kutambua kuwa nyie ni wafu watarajia hahah

Crusade itawafeka na vindala vyenu mnavyoachaga nje mkiwa mnabinuka🚮🚮🚮
 
Tunafurahia kuona wanagaza wakigaragazwa na kufanywa kitoeo cha funza na mavumbi

Hivyo basi,

Tunawaaasa waisrael waendelee kuwaponda vibaraka wenu wenye itikadi za kitapeli.

Haijalishi anapiga nini ila tunachojua mabwana zenu wamekufa wengi.

VIVA DUNIA HURU, VIVA JUDA, VIVA ISRAEL, VIVA NATO
Vipi Watanzania wamerudi sqlama? Au walitolewa kafara na mazayuni?
 
Crusade itawafeka na vindala vyenu mnavyoachaga nje mkiwa mnabinuka🚮🚮


Crusades? Kwenye crusades za mwanzo mashujaa wenu waliachieve nini zaidi ya kuuana wenyewe kwa wenyewe na mwisho hiyo Al-Quds (Jerusalem) ambayo waliishika kwa muda (wakawauwa Waislam na "ndugu" zenu mayahudi) waliipoteza? Tena wakati huo walikuwa marijali kweli kweli (hawana mambo ya ushoga ushoga) hawakuwa na mambo ya LGBTQ na "woke" culture. Wanavyoipenda dunia hivi hiyo crusade si wataishia kuuana wenyewe kwa wenyewe. Sasa hivi Ummah wa Kiislam upo katika hali ya udhaifu ila nguvu ya Ummah itarudi tu kwa idhini ya Allah.

Huu Ummah ulikumbana na balaa la Mongols/wamongolia, na bado ukasurvive kisha ukawashinda kwa idhini ya Allah, sikuambii hawa wanaobishana nini maana ya mwanamke.

Allah awanusuru ndugu zetu wanyonge kote duniani. Na aupe nguvu na utukufu Ummah.
 
Allah awanusuru ndugu zetu wapalestina na awape amani na nusra.

Hamas walikosea kuwapa fursa mazayuni ya ku commit genocide dhidi ya ndugu zetu. Matukio ya October 7 yaliishia kuwapa fursa mazayuni ya kuimwaga mnoo damu ya wapalestina. Hamas walikosea. Allah awasamehe Waislam waliouawa kwenye genocide hii na kuwakubalia kuwa Mashahidi na awaponye majeruhi wao na awape nusra na aviangushe vitimbi vya maadui zao wote, Aameen.
 
Back
Top Bottom