RIP NIPSEY HUSSLE...THE GREATEST HUSTLE TO EVER MADE IT

aiseee binadamu tunaokuaga kwenye race moja ndo watu tunaorudishanaga nyuma siku zote kama african american wengi ni maadui kisa chuki...southafrica na xenophobia wamepigana na wazungu weee wakaona watakosa ugali mazima ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alishapelekwa mahakamani kusomewa kesi ya mauaji ila kitaa wahuni wanahamu nae sana washaua hadi ndugu yake mmoja wanafanana sana walihisi ni yeye

Cha kushangaza watu muuaji anawezaje kumu afford wakili mwenye high profile huko marekani ukicheki muuaji alikuwa hajatoboa kimaisha hivo.
Nihatua gani sasa zimechukuliwa dhidi yake? Sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom