adden
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 7,035
- 15,538
mshana nae unatamani ungekuwa mhudumu wa hiyo moshwariKako kwenye jokofu saa hii
mshana nae unatamani ungekuwa mhudumu wa hiyo moshwariKako kwenye jokofu saa hii
MADUKA YENYE MILANGO YA VIOO YAKOJEKama maduka yenye milango ya vioo.
HahahahahahahaMijitu Ina roho mbaya hivi mrembo kama huyu unaanzaje kumpiga risasi,Mimi bora nifukuzwe kazi namficha alafu nakua namtafuna kidogokidogo
Bora hata hao wa mtutu.bongo wanasepa na kijiji mkuu
Dah! Ana vitako vizuri kweliView attachment 509525View attachment 509526picha zake facebook
NB. Waharifu wengi mno wanapendelea kuvaa majuba, mix miwani.Wanawake sasa hivi ndio wanaongoza kwa ujambazi na kupanga madili na majambazi, na wengine wanajificha, kwa miavuri ya majuba, wanaficha sura zao, hili waonekane watu wema katika jamii, kumbe wamevaa ngozi ya kondoo mkuu Mshana jr
Nawaogopa sana lakini sio hawa wa JF... They are wonderful beautiful n lovely women halafu WANAJITAMBUA japo kuna wachache VIMEO.... ila wote niliowahi kukutana nao I never regret...Wanawake sasa hivi ndio wanaongoza kwa ujambazi na kupanga madili na majambazi, na wengine wanajificha, kwa miavuri ya majuba, wanaficha sura zao, hili waonekane watu wema katika jamii, kumbe wamevaa ngozi ya kondoo mkuu Mshana jr
Get rich or die tryingView attachment 509515View attachment 509517kafa kwa risasi eneo la tukio
Moyo wa mtu ni kiza kinene
Ila Shughuli yake kuchungulia tundu la choo
hapana huyu mdada kumkuu alinyimwa papuchi ndo akachezeshewa picha la ujambazPicha walizotoa police wakimtafuta akiwa hai ama mfuView attachment 509528View attachment 509529