Rihanna is now worth $1.7 billion, making her the richest female musician in the world

Daaaaah Riana Stan Accounts, Hii Picha ya Rihana Imekuwa Posted kwenye Account ya Instagram ya DefJam
defjam_1628162543595686.jpg
 
Ila Manzi Nae wa sana, nakumbuka Rihanna alivunja mahusiano yake na Karim Benzema kwa sababu ya mapenzi yake kwa Chris Brown... Demu Watu Wengi wamemnyanjua sana
Bado yule muarabu Hassan, drake...Kanye pia kaonjapo
 
Pesa yake ndefu kuliko wote hawa. Vipodozi vyake vimemuingizia pesa nyingi sana. Kinachonishangaza kavuta pesa nyingi sana kipindi cha Covid-19 miezi 18 iliyopita ambapo watu walikuwa wamejifungia majumbani kutokana na lockdown. Inaelekea warembo pamoja na lockdown walikuwa busy kujiremba majumbani mwao.
Fenty Beauty ndo habari yenyewe imemuingizia pesa nyingi baada ya kuianzisha mwaka 2017.

Cha msingi amewekeza katika vipodozi vya kope za macho (shades) zaidi ya 40 tofauti kwa za aina zote.

Kwa vile brands nyingi zilikuwa hazitoi choice kwa wateja kuchagua rangi watakazo, Rihana akaona hiyo fursa na akaanzisha hizo rangi zaidi ya 40 na sasa na aina 50.

Pia huyu binti mwenye akili za biashara na washauri wazuri alianzisha range ya nguo za ndani ziitwazo Savage X Fenty ambazo nazo zimelipa.

Hili ni somo kwa akina J Dee, Nandy na wengine na si kufikiria kukarangiza maandazi na biashara za migahawa.

They have to think big.
 
Fenty Beauty ndo habari yenyewe imemuingizia pesa nyingi baada ya kuianzisha mwaka 2017.

Cha msingi amewekeza katika vipodozi vya kope za macho (shades) zaidi ya 40 tofauti kwa za aina zote.

Kwa vile brands nyingi zilikuwa hazitoi choice kwa wateja kuchagua rangi watakazo, Rihana akaona hiyo fursa na akaanzisha hizo rangi zaidi ya 40 na sasa na aina 50.

Pia huyu binti mwenye akili za biashara na washauri wazuri alianzisha range ya nguo za ndani ziitwazo Savage X Fenty ambazo nazo zimelipa.

Hili ni somo kwa akina J Dee, Nandy na wengine na si kufikiria kukarangiza maandazi na biashara za migahawa.

They have to think big.
Wakina Nandy wakianzisha hii businesaa inakufa...roho mbaya za wabongoo hawakupigi tafuu
 
Amekuwa smart sana kuhakikisha vipodozi vyake havibagui watu wa rangi yoyote ile duniani na umaarufu wake kwenye muziki dunia nzima ulimfanya apate wateja wengi sana katika kipindi kifupi na kama siyo Covid-19 si ajabu worthness yake ingegusa $3 billions.

Fenty Beauty ndo habari yenyewe imemuingizia pesa nyingi baada ya kuianzisha mwaka 2017.


Cha msingi amewekeza katika vipodozi vya kope za macho (shades) zaidi ya 40 tofauti kwa za aina zote.

Kwa vile brands nyingi zilikuwa hazitoi choice kwa wateja kuchagua rangi watakazo, Rihana akaona hiyo fursa na akaanzisha hizo rangi zaidi ya 40 na sasa na aina 50.

Pia huyu binti mwenye akili za biashara na washauri wazuri alianzisha range ya nguo za ndani ziitwazo Savage X Fenty ambazo nazo zimelipa.

Hili ni somo kwa akina J Dee, Nandy na wengine na si kufikiria kukarangiza maandazi na biashara za migahawa.

They have to think big.
 
Si mchezo 1.7B pesa ndefu sana!! yaani ni 1700m USD ,means akikupa 1m USD ni sawa na Tsh 2.3B na milioni kama 50 hivi na kama ukiamua kila siku utumie laki na nusu utaimaliza baada ya miaka 150 hiyo 1m USD.
 
That’s very true their CHEMISTRY was out of this World. CB tried several times to hook upbwith her again but without any success.
Alikuwa bado wamotooo....ila sizani kama atakuja kumpenda mwanaume kuzidi alivyompenda breezee
 
Si mchezo 1.7B pesa ndefu sana!! yaani ni 1700m USD ,means akikupa 1m USD ni sawa na Tsh 2.3B na milioni kama 50 hivi na kama ukiamua kila siku utumie laki na nusu utaimaliza baada ya miaka 150 hiyo 1m USD.
Being worth $1.7 billon haimaanishi ana pesa taslimu $1.7 bilioni.

Hiyo namba ni valuation/ estimate ya biashara zake na zile ambazo ana ubia nazo!

Ikija kwenye cash money, unaweza kukuta hata $ 200 milioni hana kwenye akaunti.

Hawa waandishi huwa hawaweki vizuri perspective na context ya huu utajiri.

Na ndo maana huwa unaona wakati mwingine mtu anapoteza mabilioni mengi au mwingine anapata mabilioni mengi kwa siku, au unaona Bernard Arnault kamzidi Jeff Bezos kwa siku mbili halafu Bezos anakuja kumpiku tena Arnault….

Ni utajiri wa makisio ya thamani za mali, hisa, ubia, nk., kuliko pesa taslimu.

Ukizungumzia pesa taslimu basi akina El Chapo ndo hawakamatiki maana wao biashara zao zipo zaidi kwenye pesa taslimu kuliko kwenye makaratasi.
 
Back
Top Bottom