Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 13,463
- 19,808
Wameanza tenaNaona wameanza tena! Tunamuomba Mungu apishilie mbali mambo ya hovyo kama haya.
Huyo majaliwa aliamua kujiropokea tu halikua hajui lolote
Usinikumbushe mbali, majuzi tu Kasim Majaliwa aliulizwa JPM yuko wapi akasema kama uliyoyasema ya JK. Ilipofika tar 17.3.2021 yakawashinda wakatangaza kinyume chake. JK ana mdomo wa kuongea tunasibiri ajibu hoja mitandaoni sio kusemewa.