Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Sie wazaramu sijui tutamka lini.
btw
Ridhwani anamwoa yule binti wa Kichagga Mimi kusema ukweli siwezi saari za kupanda treni.Tulishampa yule binti wa kutoka Tanga ambako angepewa theory an practical lakini wapi siio la kufa halisikii dawa.
Mie nishamwambia Mtawa miguuu yangu mibovu siwezi kwenda Moshi, milima mingi sana kule
sijui nyie mnaonaje kuhusu hili la Moshi?
cha ajabu sijui kama huyo Binti mwenyewe keshachezwa
btw
Ridhwani anamwoa yule binti wa Kichagga Mimi kusema ukweli siwezi saari za kupanda treni.Tulishampa yule binti wa kutoka Tanga ambako angepewa theory an practical lakini wapi siio la kufa halisikii dawa.
Mie nishamwambia Mtawa miguuu yangu mibovu siwezi kwenda Moshi, milima mingi sana kule
sijui nyie mnaonaje kuhusu hili la Moshi?
cha ajabu sijui kama huyo Binti mwenyewe keshachezwa
Last edited by a moderator: