Ridhwani afunga ndoa!

Game Theory

JF-Expert Member
Sep 5, 2006
8,545
833
Sie wazaramu sijui tutamka lini.
btw

Ridhwani anamwoa yule binti wa Kichagga Mimi kusema ukweli siwezi saari za kupanda treni.Tulishampa yule binti wa kutoka Tanga ambako angepewa theory an practical lakini wapi siio la kufa halisikii dawa.

Mie nishamwambia Mtawa miguuu yangu mibovu siwezi kwenda Moshi, milima mingi sana kule

sijui nyie mnaonaje kuhusu hili la Moshi?

cha ajabu sijui kama huyo Binti mwenyewe keshachezwa
 
Last edited by a moderator:
Sie wazaramu sijui tutamka lini.
btw

Ridhwani anamwoa yule binti wa Kichagga Mimi kusema ukweli siwezi saari za kupanda treni.Tulishampa yule binti wa kutoka Tanga ambako angepewa theory an practical lakini wapi siio la kufa halisikii dawa.

Mie nishamwambia Mtawa miguuu yangu mibovu siwezi kwenda Moshi, milima mingi sana kule

sijui nyie mnaonaje kuhusu hili la Moshi?

cha ajabu sijui kama huyo Binti mwenyewe keshachezwa

huyu si mkwere au ni mzaramu vile?

halafu kuoa si maamuzi ya mtu, mie nnampongeza kama ni kweli maana inaonyesha watanzania si wabaguzi
 
Sie wazaramu sijui tutamka lini.
btw

Ridhwani anamwoa yule binti wa Kichagga Mimi kusema ukweli siwezi saari za kupanda treni.Tulishampa yule binti wa kutoka Tanga ambako angepewa theory an practical lakini wapi siio la kufa halisikii dawa.

Mie nishamwambia Mtawa miguuu yangu mibovu siwezi kwenda Moshi, milima mingi sana kule

sijui nyie mnaonaje kuhusu hili la Moshi?

cha ajabu sijui kama huyo Binti mwenyewe keshachezwa

Kuna haja gani ya kujadili hili?
 
Kuna haja gani ya kujadili hili?

Nakubaliana na wewe Nziku....kwa nini mnaleta thread kama hizi hapa JF? Msimpe umuhimu wa namna hii huyu kijana...he's not worth all this trouble!
 
Ridhwani ni kizito CCM hiyo category yake inaangukia kama mkubwa na hiki ni kibweka chake kama vile mnaweka vibweka vya akina CHADEMA na wengineo

Duh! sasa numepumua maana nilifikiri ni Mzaramo maana tabia hizo za kuoa mbali wanazo wazaramo wa Bra lakini huyu inaonekana haja qualify

sasa kwa nini Jakaya anajiita Mzaramo ili hali siyo? mwambieni kuwa PUNDA KUZALIWA KWENYE ZIZI LA NGOMBE HALIMFANI KUWA NGOMBE

Hivi wale mabinti wa Zakia Meghji washaolewa?

sie wengine unajua tena wabovu wabovu za rangi zile
 
Swadakta kijana ameamua kuachana na jeshi la wapiganaji shupavu na wengi...anakwenda kwenye jeshi ndogo wapiganaji dhaifu na wanaosua sua na migogoro mingi katika maisha pole yake na anakaribishwa tena uko kukimshida.Jioni njema na kazi njema
 
Ridhwani ni kizito CCM hiyo category yake inaangukia kama mkubwa na hiki ni kibweka chake kama vile mnaweka vibweka vya akina CHADEMA na wengineo

Duh! sasa numepumua maana nilifikiri ni Mzaramo maana tabia hizo za kuoa mbali wanazo wazaramo wa Bra lakini huyu inaonekana haja qualify

sasa kwa nini Jakaya anajiita Mzaramo ili hali siyo? mwambieni kuwa PUNDA KUZALIWA KWENYE ZIZI LA NGOMBE HALIMFANI KUWA NGOMBE

Hivi wale mabinti wa Zakia Meghji washaolewa?

sie wengine unajua tena wabovu wabovu za rangi zile


?????????????????? R U Serious?

Si mpigiane simu basi, nyie mnoulizana haya? Msituletee mambo ya vijiweni hapa!
 
?????????????????? R U Serious?

Si mpigiane simu basi, nyie mnoulizana haya? Msituletee mambo ya vijiweni hapa!

wewe haswa linakuudhi nini?

maaana unaonekana una kHasira sana shekhe wangu vipi

au ndio wingu na kijimvua kilichotanda huko kwenu?
 
?????????????????? R U Serious?

Si mpigiane simu basi, nyie mnoulizana haya? Msituletee mambo ya vijiweni hapa!

pole mkuu taratibu utaumiaaa!!!!

nguvu mtego zitunze zitaisha, hujalipenda tafuta linalokupendeza uchangie. wengi humu hatuwapigii simu, angalia heading ya subforum
 
wewe haswa linakuudhi nini?

maaana unaonekana una kHasira sana shekhe wangu vipi

au ndio wingu na kijimvua kilichotanda huko kwenu?

Mie sio kwamba kuna kichoniudhi....bali kinanikera. Let's face it people....kwa kweli mnayoongea hapa yanashangaza! Eti watoto wa nani sijui washaolewa? Eti wewe sijui rangi zimefanya nini? I don't think we need this kind of information here! You are either giving us too much information that we don't really need for this discussion, or you're just a loser!

And for your 411, me sio shekhe ati, we kwetu hukujui, na wala hakuna kiwingu wala mvua huku kwetu.

It looks like you have nothing better to do than to discuss other people's lives, so .......GET A LIFE!
 
pole mkuu taratibu utaumiaaa!!!!

nguvu mtego zitunze zitaisha, hujalipenda tafuta linalokupendeza uchangie. wengi humu hatuwapigii simu, angalia heading ya subforum

No wonder unajiita mtu wa pwani! You think you know it all, when you have squat! So let me explain this to you s-l-o-w-l-y!

You and your friend(s) should stop wasting time with your gossips, and just exchange your phone numbers to discuss this elsewhere and at your own time! Get it? Oh, before I forget....You should get a life too!
 
Sie wazaramu sijui tutamka lini.

..kwani,mlilala lini?

Ridhwani anamwoa yule binti wa Kichagga Mimi kusema ukweli siwezi saari za kupanda treni.Tulishampa yule binti wa kutoka Tanga ambako angepewa theory an practical lakini wapi siio la kufa halisikii dawa.

..weye ndio purveyor wake wa mademu nini,ustaadh?

Mie nishamwambia Mtawa miguuu yangu mibovu siwezi kwenda Moshi, milima mingi sana kule

..usiniambie ule msemo wa wazaramo wengi miguu imeliwa na funza ni kweli!

sijui nyie mnaonaje kuhusu hili la Moshi?

..ustaadh,mi naona hili lisikulaze mlango wazi,hata kuwa yeye wa kwanza wala wa mwisho.

cha ajabu sijui kama huyo Binti mwenyewe keshachezwa

..hivi,siku hizi mabinti wa kizaramo nao wanachezwa?maana wasingekuwa wanajaa kwenye mabaa na mabanda ya viti moto!
 
Nakubaliana na wewe Nziku....kwa nini mnaleta thread kama hizi hapa JF? Msimpe umuhimu wa namna hii huyu kijana...he's not worth all this trouble!

Ni jambo la muhimu sana kulijadili hapa.

Mkapa alikuwa mtiifu sana hana rushwa alipooa Machame matokeo yake tunayaona. hadi EPA mama Mkapa kafanyiza. sifa nzuri zote za mkapa zimehabiriwa.

DR.Salmin Amour alikwenda kuoa Kilimanjaro alipomaliza tu urais akakimbiwa na mwanamke wa kichagga na kumuibia kila kitu.

Sumaye alioa mchagga matokeo yake kawa mwizi mkubwa na mrafi.
sio siri kuna maeneo ukitaka kuoa lazima ujiulize mara tatu tatu.

mikoa ya Musoma, bukoba ni mashaka. na Kilimanjaro ndio balaa.
Balali mke wake ni kilimanjaro moto mtupu.
 
Ni jambo la muhimu sana kulijadili hapa.

Mkapa alikuwa mtiifu sana hana rushwa alipooa Machame matokeo yake tunayaona. hadi EPA mama Mkapa kafanyiza. sifa nzuri zote za mkapa zimehabiriwa.

DR.Salmin Amour alikwenda kuoa Kilimanjaro alipomaliza tu urais akakimbiwa na mwanamke wa kichagga na kumuibia kila kitu.

Sumaye alioa mchagga matokeo yake kawa mwizi mkubwa na mrafi.
sio siri kuna maeneo ukitaka kuoa lazima ujiulize mara tatu tatu.

mikoa ya Musoma, bukoba ni mashaka. na Kilimanjaro ndio balaa.
Balali mke wake ni kilimanjaro moto mtupu.

..a good spin,indeed!
 
Sie wazaramu sijui tutamka lini.
btw

Ridhwani anamwoa yule binti wa Kichagga Mimi kusema ukweli siwezi saari za kupanda treni.Tulishampa yule binti wa kutoka Tanga ambako angepewa theory an practical lakini wapi siio la kufa halisikii dawa.

Mie nishamwambia Mtawa miguuu yangu mibovu siwezi kwenda Moshi, milima mingi sana kule

sijui nyie mnaonaje kuhusu hili la Moshi?

cha ajabu sijui kama huyo Binti mwenyewe keshachezwa


Sasa mnataka kusema Ridhwan ataoa wa ngapi? Mpaka sasa ameshaahidi ndoa wafuatao:
• Arafa
• Jokate
• Binti wa Upanga
• Mariam

Hawa wote sio wachagga. Sasa naona umeongezea na Msichana wa kichaga tena. Kuna ukweli wowote hapo?

PM
 
Ni jambo la muhimu sana kulijadili hapa.

Mkapa alikuwa mtiifu sana hana rushwa alipooa Machame matokeo yake tunayaona. hadi EPA mama Mkapa kafanyiza. sifa nzuri zote za mkapa zimehabiriwa.

DR.Salmin Amour alikwenda kuoa Kilimanjaro alipomaliza tu urais akakimbiwa na mwanamke wa kichagga na kumuibia kila kitu.

Sumaye alioa mchagga matokeo yake kawa mwizi mkubwa na mrafi.
sio siri kuna maeneo ukitaka kuoa lazima ujiulize mara tatu tatu.

mikoa ya Musoma, bukoba ni mashaka. na Kilimanjaro ndio balaa.
Balali mke wake ni kilimanjaro moto mtupu.


Mkuu Mzee Kifimbo,

Sasa mbona unatutisha?

Unaweza kushauri mikoa ipi tuangalie maana wewe ndio mrekebishaji mambo.

Pia umenikumbusha gazeti la SANI.
 
I think Ridhiwani ana secret mission ya ku unite CHADEMA na CCM, kama ametumwa na vingunge mii sijui, only time will tell!
 
Ridhwani ni kizito CCM hiyo category yake inaangukia kama mkubwa na hiki ni kibweka chake kama vile mnaweka vibweka vya akina CHADEMA na wengineo

Duh! sasa numepumua maana nilifikiri ni Mzaramo maana tabia hizo za kuoa mbali wanazo wazaramo wa Bra lakini huyu inaonekana haja qualify

sasa kwa nini Jakaya anajiita Mzaramo ili hali siyo? mwambieni kuwa PUNDA KUZALIWA KWENYE ZIZI LA NGOMBE HALIMFANI KUWA NGOMBE

Hivi wale mabinti wa Zakia Meghji washaolewa?

sie wengine unajua tena wabovu wabovu za rangi zile

Does it mean umeanzisha hii thread kumtukuza Ridhwan au ndo unamtafutia huo umaarufu???
Mbona unaleta hisia zako za kikabila hapa JF? Ridhwan akioa mchaga, mpare, mmasai, mkurya how does that qualify to be Kibweka? tofauti na akioa Tanga au Uzaramoni???

Hizi ndo zinasababisha folader la Maoni, Malalamiko, Mapendekezo, Ushauri kujaa post zinazoomba watu wapunguze thread zisizo na mwelekeo kama hii!!!!

JF imevamiwa...?
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom