Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Mbunge wa Chalinze (CCM) Ridhiwani Kikwete amesema kupitia akaunti ya ya Twitter kuwa watu tusibeze hatua zinazochukuliwa na Mh Waziri, tumpe moyo wa kupambana na matokeo ya matendo yake ndiyo tuyahukuwa.
My take
Hii tabia ya wanasiasa kutuhumu wenzao kuwa wezi wakiwa upinzani itawagharimu.
Naona sasa Mh. Anaunga mkono watu kutuhumiana kwa style hii. Lakini amesahau kuwa yeye pia alituhumiwa kwenye dawa za kulevya na akasema watu wasitajwe hadharani bila ushahidi.
Ni vema angekaa kimya tu maana yeye yalimpata kwa style hii, wizara kabla ya Nyalandu kulikuwa na watu wenye tuhuma lukuki Kagasheki na Maige pamoja na Magembe muda uliopita kwanini hawakutajwa?
My take
Hii tabia ya wanasiasa kutuhumu wenzao kuwa wezi wakiwa upinzani itawagharimu.
Naona sasa Mh. Anaunga mkono watu kutuhumiana kwa style hii. Lakini amesahau kuwa yeye pia alituhumiwa kwenye dawa za kulevya na akasema watu wasitajwe hadharani bila ushahidi.
Ni vema angekaa kimya tu maana yeye yalimpata kwa style hii, wizara kabla ya Nyalandu kulikuwa na watu wenye tuhuma lukuki Kagasheki na Maige pamoja na Magembe muda uliopita kwanini hawakutajwa?