Jengo lipi Mkuu? Mbona unaleta vitu nusu nusu?
Jengo "0" kama bajeti "yetu". Kwi kwi kwi teh teh teh!
Asante kwa taarifa. Liko mtaa gani?
naona posti imekuja bila picha naweka picha.
Jengo "0" kama bajeti "yetu". Kwi kwi kwi teh teh teh!
Hebu acha habari za udaku, hili ni jukwaa makini...
Sasa jengo liko wapi, au bado linajengwa? maana naona "0".
Ninamuomba Ridhiwani Kikwete athibitishe au akanushe uhusika wake au umiliki wake wa Jengo hili ndani ya mji wa Dodoma.Endapo atashindwa nitamwaga ukweli na nyaraka juu ya hili.