Lenana
JF-Expert Member
- Oct 10, 2010
- 421
- 79
Hivi huyu kijana mwenzetu ana usafi gani hata achafuliwe binafsi na kwa wafuatiliaji wenzangu wa siasa ndani ya ccm watatambua ridhiwani kikwete hana usafi wowote hata kuwa katika nafasi ya kuchafuliwa tena ni aibu kwa mtu mzima kama ridhiwani kuendelea kumtegemea mzazi wake namaanisha kuwa tegemezi je huo nao ni usafi!
Naam habari za uchakachuaji matokeo zilishatolewa awali na source za kuaminika naye ridhiwani na nduguye khalifani walihusishwa (ofisi zao zikiwapo upanga) by then hawajawahi kukanusha kuhusika kwao!
Mawazo haya yanatokana na ripoti aliyoitoa leo mgombea urais dr slaa akimhusisha na uchakachuaji wa matokeo
Naam habari za uchakachuaji matokeo zilishatolewa awali na source za kuaminika naye ridhiwani na nduguye khalifani walihusishwa (ofisi zao zikiwapo upanga) by then hawajawahi kukanusha kuhusika kwao!
Mawazo haya yanatokana na ripoti aliyoitoa leo mgombea urais dr slaa akimhusisha na uchakachuaji wa matokeo