Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,886
- 938
Mbunge wa Jimbo la Chalinze Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete aishukuru Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais wa JMT Mhe. Samia Suluhu Hassan.
Kazi Nzuri inayofanywa na Serikali yetu ya Awamu ya Sita Chini ya Uongozi wa Mhe. Samia Suluhu Hassan ndani ya Kipindi hiki cha Miezi Sita katika Sekunde 25 za Mbunge wa Chalinze Mhe. Ridhiwani Kikwete aliposhiriki kwenye mapokezi ya Rais Samia akielekea Bagamoyo Kurekodi kipindi Cha Royal Tour.
#KaziIendelee #AsanteRaisWetu #KaziUnaipigaKweli #Chalinze tunakushukuru
Kazi Nzuri inayofanywa na Serikali yetu ya Awamu ya Sita Chini ya Uongozi wa Mhe. Samia Suluhu Hassan ndani ya Kipindi hiki cha Miezi Sita katika Sekunde 25 za Mbunge wa Chalinze Mhe. Ridhiwani Kikwete aliposhiriki kwenye mapokezi ya Rais Samia akielekea Bagamoyo Kurekodi kipindi Cha Royal Tour.
#KaziIendelee #AsanteRaisWetu #KaziUnaipigaKweli #Chalinze tunakushukuru