Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,345
- 29,146
Asilimia kubwa ya watoto waliozaliwa wakati wazazi wao wapo kwenye madaraka wana mtindio. simtoi RIZ1 ktk kundi hilo. pia amini kwamba nina mashaka hata na NAPE pia maana kumbe kule kuibua kashfa za UVCCM ni kwa sababu alitaka reputation ya kukwaa madaraka ndo maana amejiingiza ktk nafasi mbalimbali za juu kugombea. Na sasa ametulia kwa sababu amepewa uDC ambapo atajipanga na kuingia serikalini. Hivyo suala la akina RIZ1 kuwa wapatanishi ni sawa na kumwomba shetani apatanishe ndoa yenye ugomvi. Ina maana RIZ1 ana hekima sana za upatanishi na kuvunja makundi kuliko wazee na wasomi wenye hekima walioko ndani ya ccm? kwa nini aende yeye. ni kikao gani kilikaa na kupanga timu ya kampeni na kumweka huyo baradhuli ktk team? au timu ya kampeni hupangwa na mgombea?
Kweli kichwa ngumu huwa ni kigumu hata ukiunge kwa nazi na choroko
Sana sana mwakalebela na hao wengine et all watakuwa wamefarijika kutambuliwa na ukoo au familia ya mfalme kuwa atakumbukwa kwenye mgao wa kumbikumbi. Pia ahadi anazotoa RIZ1 kwa hao walioumizwa ni hoax maana baada ya uchaguzi ndipo mtakapofahamu kwa nini walitaka watulie sasa. CCM watatumia kila gharama kushinda ili wakishapata madaraka tena wanaongeza tope kwenye barabara ya kupandisha kilima cha maendeleo.
Kweli kichwa ngumu huwa ni kigumu hata ukiunge kwa nazi na choroko
Sana sana mwakalebela na hao wengine et all watakuwa wamefarijika kutambuliwa na ukoo au familia ya mfalme kuwa atakumbukwa kwenye mgao wa kumbikumbi. Pia ahadi anazotoa RIZ1 kwa hao walioumizwa ni hoax maana baada ya uchaguzi ndipo mtakapofahamu kwa nini walitaka watulie sasa. CCM watatumia kila gharama kushinda ili wakishapata madaraka tena wanaongeza tope kwenye barabara ya kupandisha kilima cha maendeleo.