Ridhiwani Kikwete atoa neno kwenye mkutano wa wadau wa sekta ya mkonge

the horse

JF-Expert Member
Sep 27, 2011
652
441
Mbunge wa Chalinze Mkoani Pwani Mhe Ridhiwani Kikwete alihudhuria mkutano wa pili wa wadau wa sekta ya mkonge mwaka 2021 na haya ndiyo aliyoyazungumza alipopata nafasi ya kutoa neno kwenye mkutano huo.

#KaziInaendelea.
 

Attachments

  • VID-20210918-WA0049.mp4
    11.7 MB
Kasemaje? Nilitaka kununua bando lon hela yangu imechukuliwa na tozo
 
Apewe unaibu waziri Sasa maana anao uzoefu wa kutosha kutoka home hadi mjengoni

USSR
 
Back
Top Bottom