Taswira
JF-Expert Member
- Sep 23, 2012
- 1,198
- 447
[h=5]Ridhiwani Kikwete
[/h]
[/h]
Huku tukitambuka kabisa kabisa kuwa ndugu zetu/waupande wa pili wapo kwenye hatua za mwishomwisho za kumalizana ili wajizike,Welevu kwenye siasa tunachukua jembe na kwenda kulima,Kule Kinana,Pale Mwigulu,Huku Nape Nauye,VIjana Sixtus na Hapa viongozi wa chama wilayani tunainuka na kupalilia chama chetu mavuno yapo mwaka 2015.
PEPERUSHA BENDERA PWANI YA CCM HARAKATI ZINAENDELEA.......
Leo nilikwenda Mkuranga katika harakati za kuimarisha Chama mkoa wa pwani.Yaliyotokea
-kupokea wanachama wa Chama cha mapinduzi na Uvccm 250
-kusimika makamanda wa vijana wa kata ya Kimanzichana na Lukanga.
-kuzindua mashina matatu ya chama cha mapinduzi.
-kuzungumza na wananchi wa Kimanzichana na kuwapa salamu za chama cha mapinduzi,ikiwa pamoja na utekelezaji wa ilani na pia kuzungumzia mchakato wa katiba.
-kukutana na waasisi wa chama waishio kimanzichana.
Nawashukuru tena viongozi wa Vijana wa mkuranga kwa kunipa nafasi hii ya kufanya kazi ya kuimarisha chama.
PEPERUSHA BENDERA PWANI YA CCM HARAKATI ZINAENDELEA.......
Leo nilikwenda Mkuranga katika harakati za kuimarisha Chama mkoa wa pwani.Yaliyotokea
-kupokea wanachama wa Chama cha mapinduzi na Uvccm 250
-kusimika makamanda wa vijana wa kata ya Kimanzichana na Lukanga.
-kuzindua mashina matatu ya chama cha mapinduzi.
-kuzungumza na wananchi wa Kimanzichana na kuwapa salamu za chama cha mapinduzi,ikiwa pamoja na utekelezaji wa ilani na pia kuzungumzia mchakato wa katiba.
-kukutana na waasisi wa chama waishio kimanzichana.
Nawashukuru tena viongozi wa Vijana wa mkuranga kwa kunipa nafasi hii ya kufanya kazi ya kuimarisha chama.