SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Alikuwa ANAZINDIKWA, majini ya mganga wao wa familia yameshindwa kutoa ulinzi tarajiwa
tafsiri tu: Umesema jambo la kweli, jambo la akili/hekima sana nashukuru wa kwetu.Ujobile inogwa sya naloli, inogwa sya mahala fijo ndaga gwa myitu
Hivi hiyo Kamati ya utekelezaji ya Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM)Taifa ina wajumbe wangapi na hao ni kina nani na wanafanya nini wakati huu wa kampeni?
Wanayakyusa kwa kujipendekeza wamezidi! Hakuna wazee huko walau wenye Busara?
tumeshaona wengi tu wakitawazwa kwa makabila mbalimbali, sioni kama ni issue... its ceremonial
huyo ni kuku wa kafara tu hakuna jingine
Hivi hiyo Kamati ya utekelezaji ya Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM)Taifa ina wajumbe wangapi na hao ni kina nani na wanafanya nini wakati huu wa kampeni?
Sio Wanyakyusa hao wazee na wala sio machifu. Hilo jina la huyo so called chief halijawahi kusikika katika koo za kichifu ni utapeli wa hali ya juu mno.