TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,886
- 11,276
Mkuu, tumeshaona pinda, lowassa, kikwete, lipumba, slaa na wengine wakivaa uchifu wanapotembelea, tena nadhani kwa jeykey huwa hata wanarecycle... these are ceremonial ni kama ambavyo unakwenda japan unapewa kimono na unapiga picha...Acid naona hii ni issue, itakuwa sio issue kama maswali niliyouliza juu yatajibiwa. Kama makabila mengine yanakubali mtu anatoka aliko na kuja kutawazwa kuwa chifu kwa watu wengine ni sawa basi ni juu yao. Kukubali kwao kusifanye makabila mengine nayo yakubali.
Kuna vitu vya msingi mtu kuwa chifu jee vilifuatwa?????
Unakumbuka JK alipigwa ngwala pale Mwanza akivishwa vazi la kichifu?? do you remember Nyerere alikua chieef wa makabila mangapi??
Cha maana ku-note ni kwamba Ridhwani amekua overpromoted sana na ccm yenyewe na hatujui agenda ni ipi kwani yeye wala si mwenyekiti wa vijana wa wa kamati ya ushindi
kinachonisikitisha zaidi ni promo anayopewa na baadhi ya waandhishi kuliko hata akina bilal au makamba, this will work against ridhwani (thats my concern)