Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,884
- 6,885
Kanumba naye angekuwa hai tungemsuta kama ni Lulu tu aliyekuwa lulu ya kweli kwake au kuna zaidi aliokuwa nao baada ya kuigiza kuwa kweli.
Jamani mi naona imetosha, kila siku Lulu, Kanumba jamani tumuache marehemu apumzike,
Lulu awe alimuua au hakumuua huu ni wakati wake wa kutafakari upya maisha yake jamani tumpe nafasi mana kila siku kwenye magazeti hakuna aliyemkamilifu watu hujifunza kupitia makosa tuiache mahakama itaamua.Hata wazazi wake wanasomo la kujifuza hapo kila kitu kina sababu na Mungu ndie anaejua kwa nini haya yatokee.
Ujumbe kwako Lulu usiyumbishwe na maneno mengi, usimtegemee binadamu yeyote kwa cheo wala kwa fedha Mtizame Bwana Yesu huyo ndiyo jibu tosha atakutoa ulipo atakupeleka atakako yeye ni mwaminifu wana maslahi binafsi tu hao.
Yaani maneno ya huyu mwenzetu ni kweli tupu mbele za Mungu na kwa LULU. Lulu amtazame YESU kwa sasa na asisikilize ya watu amuombe sana Mungu maana anampenda licha ya kwamba anachukia dhambi. Sisi sote tunaoangalia haya yote ni kuandika tunadahmbi zetu mbali mbali na MUNGU ndiye anayetufahamu. Kwahiyo kama kuna ndugu wa LULU anayesoma habari hizi mbali mbali amwambie LULU kwamba kwa sasa AMTAZAME YESU NDIYE PEKEE ANAYEWEZA KUMPATIA FARAJA NA KUMPATIA NGUVU KATIKA HALI NGUMU INAYOMKABILI KWA SASA.
NI JAMBO GUMU KUTAFAKARI KWAMBA KWENDA KWAKE KWA KANUMBA KUMESABABISHA MAUTI YAKE. ATUBU DHAMBI ZAKE NA AMWOMBE MUNGU AMSAMEHE KUTOKANA NA TENDO LAKE HILO NA KISHA ATAPATA AMANI NDANI KWENYE MOYO WAKE NA MUNGU ATAFANYA NIA KWAKE AMBAYO YEYE HAIFAHAMU KWA SASA NA HATA SISI HATUIFAHAMU.
ASANTE
Duu!! Huyu ridh1 si ameoa, au anafata nyayo za faza... Kweli wazee ya musoga nomaa..
mbona kwenye hii thread sijaona habari za kanumba??mi nimeona kuhusu riz1 na gari ya lulu..au wewe unachangia uzi mwingine?
Mwendelezo wa haya unatokana na kuibuka mambo mapya ambayo yalikuwa bado siri. Vinginevyo leo tusingejua kama kulikuwa mahusiano kati ya Lulu na Ridhiwan Kikwete kufikia hadi Lulu kununuliwa gari.
Kanumba naye angekuwa hai tungemsuta kama ni Lulu tu aliyekuwa lulu ya kweli kwake au kuna zaidi aliokuwa nao baada ya kuigiza kuwa kweli.
Usichangie bila kufungua attachment zote na kusoma utapata ufunuo mkubwa!!!!!!!!!!!!Fungua attachment unganisha na heading yake utakuwa na jibu.
Lulu sio mke ila ni kahaba, Wote Kanumba na riz1 wanacheza na makahaba huku wao wakiwa fusikaSijaui shwain ni huyu alietoa statement kuwa muislam anaruhusiwa mahawara wanne au hawa wanaomtukana??
Ingekuwa busara mumuelimishe kuwa muislam safi anaruhusiwa KUOA hadi wake wanne na sio kuwa na mahawara
Lulu amutazame yesu yupi??????????maana imani yake ndiyo hiyo imemufikisha hapo Fani yake ni huo usanii uliokubaliwa na Rais Kikwete ambaye anaongoza ncj kisanii!!Yaani maneno ya huyu mwenzetu ni kweli tupu mbele za Mungu na kwa LULU. Lulu amtazame YESU kwa sasa na asisikilize ya watu amuombe sana Mungu maana anampenda licha ya kwamba anachukia dhambi. Sisi sote tunaoangalia haya yote ni kuandika tunadahmbi zetu mbali mbali na MUNGU ndiye anayetufahamu. Kwahiyo kama kuna ndugu wa LULU anayesoma habari hizi mbali mbali amwambie LULU kwamba kwa sasa AMTAZAME YESU NDIYE PEKEE ANAYEWEZA KUMPATIA FARAJA NA KUMPATIA NGUVU KATIKA HALI NGUMU INAYOMKABILI KWA SASA.
NI JAMBO GUMU KUTAFAKARI KWAMBA KWENDA KWAKE KWA KANUMBA KUMESABABISHA MAUTI YAKE. ATUBU DHAMBI ZAKE NA AMWOMBE MUNGU AMSAMEHE KUTOKANA NA TENDO LAKE HILO NA KISHA ATAPATA AMANI NDANI KWENYE MOYO WAKE NA MUNGU ATAFANYA NIA KWAKE AMBAYO YEYE HAIFAHAMU KWA SASA NA HATA SISI HATUIFAHAMU.
ASANTE
Mwizi alipata ukombozi pale msalabani kwa kumtambua YESU dakika zake za mwisho.Lulu amutazame yesu yupi??????????maana imani yake ndiyo hiyo imemufikisha hapo Fani yake ni huo usanii uliokubaliwa na Rais Kikwete ambaye anaongoza ncj kisanii!!
Lulu amutazame yesu yupi??????????maana imani yake ndiyo hiyo imemufikisha hapo Fani yake ni huo usanii uliokubaliwa na Rais Kikwete ambaye anaongoza ncj kisanii!!
Yataje hayo maandiko!!!!!!!!!usihukumu nawe utahukumuwa, kwa kipimo kike kike ulichipima nawe utapimiwa........ From maandiko
ni muislam ana haki ya kuwa na mahawara wanne