omujubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 4,325
- 2,498
niliona jana kwenye thread ya polisi kupiga marufuku maandamano ya kudai maji Ubungo mtu mmoja alicomment kuwa watu wakishajua kuwa umesema uongo wanakudharau.Duu Hii kali, kakanusha hata ya Mnyika!! kweli tuna kazi kama hawa ndio wasomi wetu na kumbukumbu hawana.
Ukiangalia aina ya lugha iliyotumika kwenye mabandiko yote mawili haitofautiani na ni kwa nini asubirie mpaka Dr. Slaa amtaje publicly ndipo unaanza kuona dalili za hawa watu kutokuwa makini. Na ni sababu ya kupoteza umakini wao wameweza hata kudhania kuwa ili video clip ingesaidia propaganda bila kuangalia upande wa pili wa 'what, if it doesn't work'!