Ridhiwani Kikwete akabidhi misaada kedekede jimboni kwake, ikiwemo vitanda magodoro na mashuka

real G

JF-Expert Member
Feb 7, 2013
5,227
5,287
Mbunge wa Chalinze Mh. Ridhiwan Kikwete akikabidhi msaada wa vitanda vya kujifungulia (5), vitanda vya wodini (20), Magodoro 20 na mashuka 50 kwa Halmashauri ya Chalinze ambavyo vitagawiwa katika vituo vya Afya 5 vilivyo katika Tarafa 5 za Halmashauri ya Chalinze .

19145918_1492347934141953_5054579249790250337_n.jpg


19247800_1492347984141948_3777625273333368328_n.jpg


19225197_1492348074141939_2903769888560230852_n.jpg
 
Mbunge wa Chalinze Mh. Ridhiwan Kikwete akikabidhi msaada wa vitanda vya kujifungulia (5), vitanda vya wodini (20), Magodoro 20 na mashuka 50 kwa Halmashauri ya Chalinze ambavyo vitagawiwa katika vituo vya Afya 5 vilivyo katika Tarafa 5 za Halmashauri ya Chalinze .

19145918_1492347934141953_5054579249790250337_n.jpg


19247800_1492347984141948_3777625273333368328_n.jpg


19225197_1492348074141939_2903769888560230852_n.jpg
Hiyo ni kazi ya serikali na ndio man kuna bajeti ya WIZARA ya afya,na yeye huwa anachangia na kuipitisha kwa asilimia mia,sasa unapitisha bajeti kwa asilimia mia halafu vituo vyako unavigharamia kwa fedha za mfukoni,badala ya fedha za bajeti uliyopitisha kwa asilimia mia
 
Kuwa na watoto ni raha sana, ukipata mshahara wako hata kama ni m1, wape pipi tu wao wanaridhirika mpaka majirani watajua umeleta zawaidi.

Sehem iliyobaki tumbua uwezavyo kiroho safiii.
 
Aje na jimboni kwetu maana wa kwetu wa upinzani hata maji ya kunyea ya viroba hawezi kununua, pesa za maendeleo la jimbo anajiendeleza yeye na yake tu.
 
Mbunge wa Chalinze Mh. Ridhiwan Kikwete akikabidhi msaada wa vitanda vya kujifungulia (5), vitanda vya wodini (20), Magodoro 20 na mashuka 50 kwa Halmashauri ya Chalinze ambavyo vitagawiwa katika vituo vya Afya 5 vilivyo katika Tarafa 5 za Halmashauri ya Chalinze .

19145918_1492347934141953_5054579249790250337_n.jpg


19247800_1492347984141948_3777625273333368328_n.jpg


19225197_1492348074141939_2903769888560230852_n.jpg
YEYE AKIFANYA NI RUKSA ila angefanya mbunge wa upinzani ungeweza sikia wafanyakazi wa halmashauri hawakukudhuria na ambaye angehudhuria angetakiwa aandike barua,hii ndio Tz
 
Hiyo ni kazi ya serikali na ndio man kuna bajeti ya WIZARA ya afya,na yeye huwa anachangia na kuipitisha kwa asilimia mia,sasa unapitisha bajeti kwa asilimia mia halafu vituo vyako unavigharamia kwa fedha za mfukoni,badala ya fedha za bajeti uliyopitisha kwa asilimia mia
hicho ni kihoro ndugu! yaani hata mbunge kutoa msaada ktk jimbo lake unapinga!
Hujapenda kwa sababu kwa kufanya hivyo mbunge huyu ataendelea kupendwa na wapiga kura wake.
 
hicho ni kihoro ndugu! yaani hata mbunge kutoa msaada ktk jimbo lake unapinga!
Hujapenda kwa sababu kwa kufanya hivyo mbunge huyu ataendelea kupendwa na wapiga kura wake.
Hivi wananchi wanahitaji msaada au wana haki ya kupata hizo Huduma?
 
Hivi wananchi wanahitaji msaada au wana haki ya kupata hizo Huduma?
Aisee mkuu tulia ndiyo uandike maana watu ni wengi wanaofatilia humu!
Kwa hiyo unamaanisha msaada hutolewa pale tu ambapo haki haipo? ni wapi hapo? au dhana ya msaada haipo!
 
Angalau kdg aturudishie kodi zetu (zisizostahili) tunazowalipa kama posho ya makalio!
Hivi ina maana wabunge wa upinzani hata hili linawashinda? Maana tunaamini wao ndio wapo karibu zaidi na wananchi.......au na wenyewe pesa zao zina matumizi mengi sana hivyo hazitatosha?!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom