Mbunge wa Chalinze;
Ni mbunge wa kwanza kumsikia akitetea vijana katika maswala ya ajira bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kuweka wazi ukiritimba uliopo katika taasis na mashirika ya Umma.
"Mheshimiwa mwenyekiti, unakuta mwanafunzi amemaliza chuo, anaenda kuomba ajira anaambiwa awe na uzoevu usiopungua miaka miwili, atautoa wapi huo uzoevu? Waajirini wapate uzoevu. Kuna baadhi ya Taasis kama T. R. A kuna ukiritimba wa ajira, ajira zinatolewa kwa kujuana"
Naunga mkono mia kwa mia kwani ni kweli huu ukiritimba wa kupeana ajira kwa vimemo upo katika taasis na mashirika mengi kama vile; T.R.A, TANAPA, B.O.T, TPDC, n.k. Haya mataasis haya yamekubuu kwa uchafu huo.
Nasubiri mbunge atakayemuunga mkono Ridhiwani hata kupeleka hoja binafsi bungeni ya kuangaliwa upya mfumo wa ajira katika hizi taasis.
Mfano kule TANAPA unakuta kaajiriwa baba,mama na mtoto acha wajomba, mawifi na wengineo! Hizi taasis zimekuwa kama ni za familia! Aibu hii!
"Natoa shilingi hadi huu ukiritimba angalau upungue na naomba wananchi wenzangu waniunge mkono"
Ni mbunge wa kwanza kumsikia akitetea vijana katika maswala ya ajira bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kuweka wazi ukiritimba uliopo katika taasis na mashirika ya Umma.
"Mheshimiwa mwenyekiti, unakuta mwanafunzi amemaliza chuo, anaenda kuomba ajira anaambiwa awe na uzoevu usiopungua miaka miwili, atautoa wapi huo uzoevu? Waajirini wapate uzoevu. Kuna baadhi ya Taasis kama T. R. A kuna ukiritimba wa ajira, ajira zinatolewa kwa kujuana"
Naunga mkono mia kwa mia kwani ni kweli huu ukiritimba wa kupeana ajira kwa vimemo upo katika taasis na mashirika mengi kama vile; T.R.A, TANAPA, B.O.T, TPDC, n.k. Haya mataasis haya yamekubuu kwa uchafu huo.
Nasubiri mbunge atakayemuunga mkono Ridhiwani hata kupeleka hoja binafsi bungeni ya kuangaliwa upya mfumo wa ajira katika hizi taasis.
Mfano kule TANAPA unakuta kaajiriwa baba,mama na mtoto acha wajomba, mawifi na wengineo! Hizi taasis zimekuwa kama ni za familia! Aibu hii!
"Natoa shilingi hadi huu ukiritimba angalau upungue na naomba wananchi wenzangu waniunge mkono"