- Thread starter
- #21
Dawa yenu inachemka mark my word.
Mkwara wa Mende kuangusha Kabati huo wengine wanasema Dua la kuku
Dawa yenu inachemka mark my word.
<br />
Hivi wewe Kiumbe Mwenye Ubongo Mzito na Usiye mzalendo,hiki Kiingereza "Presidential Material" kina maana gani!!
I guess i have serious problems when it comes to semantics of some enigmatic writings!!
By the way,Mara ya Mwisho lini Ridhiwan kukupumulia Mgongoni? Did U like It? I see,thats y u cn insult urself just so u cn justify ur boyfriend's Uncleanliness!
Shame On U,U aint got NO PRIDE!!
Mkwara wa Mende kuangusha Kabati huo wengine wanasema Dua la kuku
Kumetokea tabia ya Vijana wa CHADEMA kushupalia Utajiri wa Mtoto wa Rais Dk. Jakaya Kikwete, wengi wao wao ni Vijana wa CHADEMA wanaosukumwa na Nongwa kwamba Baba yake Riziwani ni Rais.
Napenda kuwaambia Waache wivu wa Kike, Kila Mbuzi hula kwa Urefu wa kamba yake, hata ninyi Baba zenu wangekuwa Ikulu Mngefanya vivyo hivyo. Namuomba Riziwani aendelee kuchapa Kazi kwa Sababu tunaamini ni Presidential Material, na yote hayo Ni Maneno ya Vijana wa CHADEMA ambao wengi wameamua Kuchagua fungu la Kukosa.
Nimewapasha kama Donge linawauma Pandeni juu Mkazibe, mkishindwa Njooni CCM kunako Fungu la Kupata
Hongera Rizwani Hingera ze Yang Bilionea
Halafu CCM mnamtafuta mchawi anayewafanya mchukiwe na watanzania? Ama kweli sikio la kufa halisikii dawa. Huyu aliyeposti thread hii ya kipuuzi labda kuliko zote nilizowahi kuziona tangu mwaka huu uanze hajui anachofanya, nacho ni kumchongea Kikwete kwa umma ambao siku moja watachukua hatua dhidi yake na hao surrogates wake anaowatumia kuifilisi nchi kwa kuifisadi. Awali sikuwa nikiamini tetesi kwamba kijana huyu kinda aliyemaliza chuo miaka isiyozidi kumi iliyopita ni bilionea! Lakini sasa wenyewe CCM wanakiri hivyo. Suala hapa si kijana huyu kuwa ni bilionea bali ni jinsi alivyoupata huo ubilionea wake.Kumetokea tabia ya Vijana wa CHADEMA kushupalia Utajiri wa Mtoto wa Rais Dk. Jakaya Kikwete, wengi wao wao ni Vijana wa CHADEMA wanaosukumwa na Nongwa kwamba Baba yake Riziwani ni Rais.
Napenda kuwaambia Waache wivu wa Kike, Kila Mbuzi hula kwa Urefu wa kamba yake, hata ninyi Baba zenu wangekuwa Ikulu Mngefanya vivyo hivyo. Namuomba Riziwani aendelee kuchapa Kazi kwa Sababu tunaamini ni Presidential Material, na yote hayo Ni Maneno ya Vijana wa CHADEMA ambao wengi wameamua Kuchagua fungu la Kukosa.
Nimewapasha kama Donge linawauma Pandeni juu Mkazibe, mkishindwa Njooni CCM kunako Fungu la Kupata
Hongera Rizwani Hingera ze Yang Bilionea
Kumetokea tabia ya Vijana wa CHADEMA kushupalia Utajiri wa Mtoto wa Rais Dk. Jakaya Kikwete, wengi wao wao ni Vijana wa CHADEMA wanaosukumwa na Nongwa kwamba Baba yake Riziwani ni Rais.
Napenda kuwaambia Waache wivu wa Kike, Kila Mbuzi hula kwa Urefu wa kamba yake, hata ninyi Baba zenu wangekuwa Ikulu Mngefanya vivyo hivyo. Namuomba Riziwani aendelee kuchapa Kazi kwa Sababu tunaamini ni Presidential Material, na yote hayo Ni Maneno ya Vijana wa CHADEMA ambao wengi wameamua Kuchagua fungu la Kukosa.
Nimewapasha kama Donge linawauma Pandeni juu Mkazibe, mkishindwa Njooni CCM kunako Fungu la Kupata
Hongera Rizwani Hingera ze Yang Bilionea
Kumetokea tabia ya Vijana wa CHADEMA kushupalia Utajiri wa Mtoto wa Rais Dk. Jakaya Kikwete, wengi wao wao ni Vijana wa CHADEMA wanaosukumwa na Nongwa kwamba Baba yake Riziwani ni Rais.
Napenda kuwaambia Waache wivu wa Kike, Kila Mbuzi hula kwa Urefu wa kamba yake, hata ninyi Baba zenu wangekuwa Ikulu Mngefanya vivyo hivyo. Namuomba Riziwani aendelee kuchapa Kazi kwa Sababu tunaamini ni Presidential Material, na yote hayo Ni Maneno ya Vijana wa CHADEMA ambao wengi wameamua Kuchagua fungu la Kukosa.
Nimewapasha kama Donge linawauma Pandeni juu Mkazibe, mkishindwa Njooni CCM kunako Fungu la Kupata
Hongera Rizwani Hingera ze Yang Bilionea
Kwani kuwa CCM ni dhambi? Njoo na wewe huku tufaudu Matunda ya Uhuru, wewe endelea kupiga kelele tu watu tunafanya Alamba... Alamba....CCM Oyee wenye Roho za Kwinini Mtajinyonga Mwaka Huu na Ukizingatia ndio Tumeanza Kujivua Magamba Mmekwisha