MTOTO wa Rais Jakaya Kikwete, Ridhiwani Kikwete amesema, Watanzania wasimhukumu kwa kumuona akiendesha magari ya bei ghali na wazipuuze kauli zinazotolewa na wanasiasa wawili wa upinzani kuwa yeye ni bilionea.
Ridhiwani aliwataka Watanzania wasimhukumu kwa kumuona mitaani akiendesha magari ya bei ghali kama vile Benz na kuelezea kuwa, hiyo inatokana na namna alivyolelewa na wazazi wake kuhusu namna ya kuishi na watu. Hapa mjini jamani tunaishi kimjini si kila kitu unachomuona nacho mtu ni cha kwake, alieleza Ridhiwani katika mkutano wake na waandishi wa habari Jumatatu Dar es Salaam.
Habari Leo
It is my ardent hope that Ridhwani knows that if the matter were to proceed to trial, then the onus would be on him to PROVE that :
1. Dr. Slaa and Mtikila uttered that he was a billionaire.
2. He is not a billionaire.
3. That utterance cost him.
The accused will only need to prevent him from proving that they are guilty. They won't need to prove anything.
I am reminded of another legal threat that was made by another Kikwete. During JK's presidential campaign of 2005, allegations were made in a British tabloid that Rostam Aziz had secured for him a loan of $20 million from Iran. JK jumped up and down and swore that he would take the tabloid to the cleaners. Nothing of the sort happened.
Ridhwani is not the first CCM big shot to threaten to take Dr. Slaa to court. Real CCM leaders like Mkono and Mkapa have done the same, but being wiser, they let the matter fade quietly. Ridhwani would be well advised to do the same.
Here is more from Dr. Ridhwani, enjoy!
Amakweli kijana kachemsha. wewe ule bila kunawa kisha ukane kwamba hujala angalia sasa katika kutaja mali zako umesahau hata kiwanja kilichoko Burka Arusha, au umeuza? Hiyo ni kukurupuka na ndugu yangu nikuhakikishie mali haikwepeki hata kama ipo kwa majina ya mashetani itadhihirika tu muda ukifika kitaeleweka, na kama unataka muda ufike mapema tangulia mahakamani kama unavyodai utaona mambo..
Anyways, yote yanawezekana, Slaa & Mtikila hawana ushaidi wa kutosha na pia Riz1 hana uhakika kama hawana ushaidi wa kutosha ambapo mwisho wa siku hakutakuwa na kwenda mahakamani wala nini!!!
Thanks for the footage but where did he get his doctorate from?
Dr. Ridhwani anajijua na anajua alichonacho. Wewe Baba_Enock hujui mali ulizonano? Nitakushangaa sana kama hujui. Hivyo, kama kweli Dr. Ridhwani anasingiziwa huo utajiri mimi namhimiza aende tu mahakamani (ingawa sina kabisa imani na mahakama zetu) afungue kesi sijui ya slander au libel....watajua wenyewe huko huko mahakamani.
Na ningekuwa mimi na kama kweli nasingiziwa wala nisingeitisha mkutano na wanahabari. Kituo changu cha kwanza kingekuwa mahakamani na kusingekuwa na cha siku saba wala baba yake nani.
kuuza sura kwenye TV ni ujinga mwingine altogether!