hebu mwenye uelewa anielimishe na wengine humu. hivi rais akialikwa let say amealikwa na obama, hivi garama ni za nani? za rais aliyealikwa au kwa rais aliyemualika mwenzake.
hujajibu swali langu. kama huelewi/huna jibu unapita kimya kimya. hupungukiwi na chochote kulipo kupost pumba. akili za kibavicha bana! da!kama kaitwa basi gharama mtazilipia kupitia ushoga,tembo,madini,gas nk