Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 48,609
- 18,550
Baada ya watu 40 kupewa barua zao inasemekana kuna barua nyiningine 60 ziko mbioni..je voda awaitaji kweli hawa watu ama wameanza kuishiwa na kushindwa kuwalipa ama kuna ubadhirifu umepita na kuimaliza kampuni...wazee wa jikoni embu tusaidieni nini kinaendelea huko??