jinola hamza
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 657
- 439
Uyu rick midevu nisawa tu na afande sele aliyechangamka
Umtoe demu bongo hadi dubai halafu unavisha salama.Rapa Rick Ross ni mtu makini sana inapokuja swala la afya yake.
Rick Ross sio mtu wa kuvamia machaka ya ajabu ajabu bila tahadhari kubwa na kinga.
Rick ni mtu anajua kwamba sio kila machaka unayaongia ingia tu kienyeji, utakutana na miba, wanyama wakali, manyoka makali ama hata kuliwa na chatu.
View attachment 2024415
Umtoe demu bongi hadi dubai galafu unavisha salama.
Wagu makini hpina afya kabla ta tendo sio kuyumua salama.
Salama mara nyingi tu zinapasika.
Jamaa anajidai anatumia ndomu, wajanja wanazibeba kama anaenda ukitupa yale nani anajifurumushia Kwame anapata mimba alafu kwa kuwa wameishamwona Nate HM kama kawa anataka child support kutoka marekaniHapa ameula wa chuya kwa ulimbukeni wake,wakiachana hata haya madanga yake ya hapa yatampiga chini
Kwahiyo ndio anawaonyeshea kuwa ndio anayotumia kwa misa? wacha mbongo ampelekee ngoma asipokuwa makini.Rapa Rick Ross ni mtu makini sana inapokuja swala la afya yake.
Rick Ross sio mtu wa kuvamia machaka ya ajabu ajabu bila tahadhari kubwa na kinga.
Rick ni mtu anajua kwamba sio kila machaka unayaongia ingia tu kienyeji, utakutana na miba, wanyama wakali, manyoka makali ama hata kuliwa na chatu.
View attachment 2024415
Lazima amroge jz hahahaAkitoka kwa Rick Ross anaenda kwa Jay Z, Beyonce ajipange
Tangazo hiloRapa Rick Ross ni mtu makini sana inapokuja swala la afya yake.
Rick Ross sio mtu wa kuvamia machaka ya ajabu ajabu bila tahadhari kubwa na kinga.
Rick ni mtu anajua kwamba sio kila machaka unayaongia ingia tu kienyeji, utakutana na miba, wanyama wakali, manyoka makali ama hata kuliwa na chatu.
View attachment 2024415
Acha kuwasemea wengine, sema wewe binafsi unapenda maisha ya Hamisa.Mnaponda humu binti wa watu na akati kuna watu mnatamani maisha ya Hamisa? Kama sio wewe unayeponda basi yupo dada, shangazi, mdogo wako anatamani awe hamisa...
Ilikuwaje prison officer akawa drug dealer ?Sifa ya magnum ni Kwa kina mandingo.. Kiba zinapwaya.. Sasa Kwa kitambi cha huyo afisa magereza kweli eh..
Bhas Sawa.
Itakuwa alivyokuwa mjela jela alikuwa anaona dealers wanavyokula good times.. Walizokuwa wanamfinyia ili kumtuma tuma.. Alivyolinganisha na salary yake akaona sio kweli...
Kwamba bado wanamchukulia kama spy ?Itakuwa alivyokuwa mjela jela alikuwa anaona dealers wanavyokula good times.. Walizokuwa wanamfinyia ili kumtuma tuma.. Alivyolinganisha na salary yake akaona sio kweli...
Though Kuna mitaa hawamkubali wanamuona snitch bado.
Hamisaaa..sasa kulikuwa na haja or ulazima gani wa kujianika hadharani kuwa ametoka na Rick Ross?
Anafikiri ndio ataongeza umaarufu?au ndio kujitangaza kimataifa?au ndio kutafuta kuolewa USA?
Yule kijana wa watu wa Vunja bei mbona alikuwa chaguo sahihi kabisa kwake,ukizingatia ameshazalishwa Mara mbili Majizzo na Chibu.
Ukipata mwanaume anaekubali kubeba mizigo ya wanaume wenzie ni wa kumng'ang'ania kama kupe.
Amemuacha kijana wa watu anaenda kudanga na mijitu isiyoeleweka,hivi hajui kuwa umri unakimbia kama yule mwanariadha wa Kenya kipchoege??
Ni nature tu ya kazi yake ya awali. Kama sio au ndio ni ngumu kuaminika Kwa baadhi ya watu kulingana na itikadi zao.
Unajua wivu ndo unasababisha unaponda lifestyle ya mtu akishapiga hatua kukuzidi polee wanateseka wengi muacheni binti wa watu aenjoy maisha.....Acha kuwasemea wengine, sema wewe binafsi unapenda maisha ya Hamisa.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mwamba kajiandaaRapa Rick Ross ni mtu makini sana inapokuja swala la afya yake.
Rick Ross sio mtu wa kuvamia machaka ya ajabu ajabu bila tahadhari kubwa na kinga.
Rick ni mtu anajua kwamba sio kila machaka unayaongia ingia tu kienyeji, utakutana na miba, wanyama wakali, manyoka makali ama hata kuliwa na chatu.
View attachment 2024415