Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,832
- 16,680
Uuuuwiiiiiii.....!!!! Watanzania & TZ nchi yangu, pole,
Just to remind my fellow TZs, Richmond ilipewa Tshs 12.5bil na Treasury kama fedha za kusafirisha Power Turbines as initial capital meaning hata fedha za usafiri hawakuwa nayo.
Then maajabu mengine for 2yrs tanesco ilikuwa inawalipa Richmond Tshs 152 Mil KILA SIKU
that means 4.5bil monthly X 12 X 2yrs = Tshs 108 Bil zilishalipwa na Tanesco hadi mkataba
kuvunjwa na Bunge 2008.
Now Richmond after mkataba kuvujwa na kuonekana kampuni HEWA, wakapeana kienyeji (Inherited from Richmond)
na DOWANS, maajabu tena leo DOWANS = Richmond wanaidai tena Tanesco 185 bil..?? wakati Tanesco walikuwa na mkataba na Richmond na ulivunjwa, KILA MTU anajua,
tax payers money inavyochezewa, lazima wananchi waseme
Basi, basi, basi, JK na serikali yako, umeme mmetupandishia, gharama za maisha tayari juu
nauli za mabasi, etc
Katiba mpya na pendekeza ISIWE na KINGA kwa kiongozi YEYOTE aliyefanya au kuliingizia hasara kubwa Taifa bila kushitakiwa mara moja as soon atakapo achia ngazi,
IF CONVICTED SOON AFTER retirement must be held accountable, hii ni HATARI sana
imagine hii ni Richmond = Dowans pekee, bado kwingineko, na bado hata Rais ana KIGUGUMIZI he seems willing to pay, to whom.??, a ghost may be..!?, inaumaa, Pole Watanzania
Just to remind my fellow TZs, Richmond ilipewa Tshs 12.5bil na Treasury kama fedha za kusafirisha Power Turbines as initial capital meaning hata fedha za usafiri hawakuwa nayo.
Then maajabu mengine for 2yrs tanesco ilikuwa inawalipa Richmond Tshs 152 Mil KILA SIKU
that means 4.5bil monthly X 12 X 2yrs = Tshs 108 Bil zilishalipwa na Tanesco hadi mkataba
kuvunjwa na Bunge 2008.
Now Richmond after mkataba kuvujwa na kuonekana kampuni HEWA, wakapeana kienyeji (Inherited from Richmond)
na DOWANS, maajabu tena leo DOWANS = Richmond wanaidai tena Tanesco 185 bil..?? wakati Tanesco walikuwa na mkataba na Richmond na ulivunjwa, KILA MTU anajua,
tax payers money inavyochezewa, lazima wananchi waseme
Basi, basi, basi, JK na serikali yako, umeme mmetupandishia, gharama za maisha tayari juu
nauli za mabasi, etc
Katiba mpya na pendekeza ISIWE na KINGA kwa kiongozi YEYOTE aliyefanya au kuliingizia hasara kubwa Taifa bila kushitakiwa mara moja as soon atakapo achia ngazi,
IF CONVICTED SOON AFTER retirement must be held accountable, hii ni HATARI sana
imagine hii ni Richmond = Dowans pekee, bado kwingineko, na bado hata Rais ana KIGUGUMIZI he seems willing to pay, to whom.??, a ghost may be..!?, inaumaa, Pole Watanzania