mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Jamani nimejaribu kufuatilia sana kwenye magazeti,TV,na hata Redioni! Lakini bado sijafanikiwa kuwapata wamiliki halali wa iliyokuwa RICHMOND na sasa DOWANS.
Maana majina haya mawili kwa sasa yamekuwa masikioni kwenye kila media na wanachi wote kwa ujumla. kisa? wameshinda kesi na wanatakiwa kulipwa karibu Billion 184 kutoka kwenye pesa za kodi za watanzania.
Jamani nauliza kulikoni? Ni nani wamiliki wa kampuni hii ya Dowans? Nitashukuru kama nitapata jibu sahihi kwa faida ya watanzania wote! Maana hizo pesa ni nyingi sana na anaeenda kulipwa hatumjui.
Nawasilisha wandugu.
Maana majina haya mawili kwa sasa yamekuwa masikioni kwenye kila media na wanachi wote kwa ujumla. kisa? wameshinda kesi na wanatakiwa kulipwa karibu Billion 184 kutoka kwenye pesa za kodi za watanzania.
Jamani nauliza kulikoni? Ni nani wamiliki wa kampuni hii ya Dowans? Nitashukuru kama nitapata jibu sahihi kwa faida ya watanzania wote! Maana hizo pesa ni nyingi sana na anaeenda kulipwa hatumjui.
Nawasilisha wandugu.