Richmond founder eyes more contracts

Kamundu,
Sasa huo ndiyo uzembe tulionao wa Tanzania. Wewe kama unaishi hapo Houston, na ni mkereketwa wa Utanzania wako, unaweza kusaidia huyu jamaa aka-adhibiwa. Is matter of your guts; kwa nini tunalalamika sana serikali haifanyi kazi na huyu jamaa unaye hapo.

Fanya vitu vyako usiogope mripoti huyu jamaa kuwa anayoi scandal kubwa ya kuibia Africa; na una full evidence. Jamani hivi sisi ni wagonjwa?? Sasa unangoja serikali ifanye hiyo kazi na wewe hapo unaweza kufacilitate.

ni ndoto za mchana eti kum report ashugulikiwe kwani wenye hiyo kazi na wanalipwa kwa pesa za walipa kodi hawayajui hayo?
 
ni ndoto za mchana eti kum report ashugulikiwe kwani wenye hiyo kazi na wanalipwa kwa pesa za walipa kodi hawayajui hayo?
Sasa hiyo ndiyo tofauti yetu sisi na wengine. Exactly you have pointed where our minds have limit. Believe me we don't have charisma, love, motivation. we are ugly, unmotivated, less gifted than other humans! Hii ni Nchi yako, unangoja mwizi amripoti mwizi mwenziwe, ghosh! Ulichoongea hapo juu sasa inaonyesha wazi kuwa WaTanzania uongea sana, halafu waulize baadaye what they want to achieve they will not tell you.

Your voice can be heard, go and take evidence and go straight to the point, you can even hire a lawyer in America is constitutional to sue anybody who have committed an offence while in another country. Wa-South Africa wameyashitaki makampuni kama De Beers, Anglo, etc kwa kufanya biashara na kuwanyonya wakati wa arpatheid, na kesi zilisikilizwa, wewe kwako unaona taabu au hujui?

Hii inaonyesha wazi kuwa either hatuko informed au just negligents.

Labda ungeniambia kuwa huna hizo guts basi ningekuelewa!!
 
Jamani, Gire kaiba nini? Kama procedures za manunuzi hazijafuatwa na Watanzania, Gire kakosea nini? Kama generator zipo na in good condition as per contract terms. Money paid $30million, money recouped through charges so far $22million. Nadhani report had a political ambition rather than the facts. IPTL alitakiwa alete High Speed Engines ambazo zingekuwa easily convertable to gas utilization lakini walisupply engine zingine tofauti kabisa.
Na hii nyingine ya uhifadhi wa samaki, kila mwezi charges $8million, nadhani hii inabidi iangaliwe kwa karibu na ichunguzwe haraka sana kuhakikisha kuwa kulikuwa hakuna ufisadi katika kuipa serikali mwanya wa kujilipa yenyewe fedha through her agents for elections purposes or individual gains.
There is a lot including EPA inayoendelea BoT still pamoja na kesi nyingine kuwa mahakamani, jamani, there are just a lot of scams in this country. We don't here TAKUKURU on these issues. We want reports publicized by TAKUKURU on all these issues.
Kama hajaiba kwa nini Richmond kesi ipo Mahakamani? Au imefutwa? Hivi kashfa yote hii ya Richmond hadi sasa huoni kuwa Gire is among the Culprits? Gire is the culprit number one, he lied to the Government of Tanzania that he can procure goods he didn't procure. Hivi hujui zile pesa zilitolewa baada ya Gire kushindwa kutoa pesa yake? Kwanza ilikuwa alete mitambo ya kukodiswa baadaye ikabadilika kuwa hana pesa ya kutosha baada ya kudangyanya, na serikali ifungue Letter Of Credit?
Hujui CITI Bank walikataa kufanya hiyo deal baada ya kuona ina mizengwe? Unajua kuwa CRDB walifungua Letter Of Credit kupitia HSBC kwa masharti? Na serikali ndiyo ilikuwa guarantor (BOT)?
Hujui kuwa haikufanywa "dully diligence" na Mwanasheria Mkuu kutambua kuwa hiyo kampuni ilikuwa iko registered na kuwa na pesa za kutosha au uwezo wa kussaport USD 170million deal?
My friend there are several culprits here, First Gire as owner of Richmond, Second culprit is the Government of Tanzania Executive [President] Mr. Jakaya Mrisho Kikwete.

Therefore sioni kama hizi kesi sitafanikiwa kama waTanzania mtangojea eti Wezi (Serikali hii ya Sasa) wakamshike mwizi mwenzao (GIRE - Richmond); we need a sacrifice of individual Tanzanians or groups. Yes you can.
 
Back
Top Bottom