!rich gang wa tanzania ni bashite na baba yake
nasikiaga ni bosi mmoja mkuu sana huko clouds kaajiri kina ruge na kusagaNdo nan huyo diva mkuu
Kundi la matajiri nahisiRich Gang ndio wakina nani hao?
Mapedeshee sioKundi la matajiri nahisi
Mbona huyu jamaa mnamwandama sana wakuuKwani wewe ni mzungu Mkuu?
Kuiga kitu ambacho kina manufaa hakuna ubaya wowote.
Hakuna asiye iga hapa duniani mbona wachina wanaiga kila siku technolojia ya watu wengine? Mbona walipokuja Tanzania hapa walianza kuchoma mahindi na kuwa wamachinga wazuri tu.
Ana kaushamba fulani hivi Mkuu.Mbona huyu jamaa mnamwandama sana wakuu
Aman iwe nanyi wakubwa wa jukwaa hili
Tumeweza kuona huko uganda kuna watu ambao wanaitwa rich gang, mmoja wa watu waliokuwa wakiunda kundi hilo ni mfanya biashara ivan don ambaye kwa sasa ni marehemu bwana amuweke pahala salama kuumen kwake yeye aliyempenda zaid ambaye ni bwana
Sasa nakuja kwenye maada husika, je hawa rich gang kwa tanzania ni akina nan?
Ama tanzania hakuna rich gange ambao wana mfumo kama hawa wenzao wa uganda?
Je kwani ukiwa tajir tu nawe unakuwa rich gange?
Naomba kujua zaid kuhusu rich gang wa tanzinia ni akina nan
Aisee kumbe jamaa ni mshamba, kwan had america kuna washamba mkuuAna kaushamba fulani hivi Mkuu.
Mbona kuiga ni kitu cha kawaida sana. Hata mataifa makubwa bado yanaiga mfano China.
Halafu yeye analeta udwanzi wake hapa kudharau wenzake.