Kuku wa Kabanga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 807
- 366
Habari ni wadau,naomba kujuzwa kwa wanaojua,nimesikia benki hulipa interest nzuri kwa akaunti ya mtoto,napenda kujuzwa ni asilimia ngapi hulipa kwa Mwaka,na je wanalipa kipindi gani,ni kila unapoweka hela au mpk Mwaka uishe?