Agenda gani hizo za kuua wapinzani wao?Kwa maoni ya jamiiforums KENYATTA ni best president lakini kwa maoni ya Africa na data zote zote zilizopita zinaonyesha Africa ni Magufuli na Kagame, kwa ufupi one Magufuli ni sawa na Kenyatta 200, big 4 agenda za uhuru ni agenda zote za magufuli zilizoandikwa kwa English.
Agenda gani hizo za kuua wapinzani wao?