njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Saa 12.22 jioni dw ujerumani iko hewani kupitia rfa mtangazaji anasoma sms za wasikilizaji. Kuna sms moja kutoka tanzania ikauliza: mbona wizara ya afaya inasema tuepuke mikusanyiko halafu serikali hiyohiyo inakusanya mamia ya watu kuzindua miradi?
Wakati sms inaendelea kusomwa ghafla jamaa wa ilemelea mwanza wakakata matangazo na kuweka ji-song la christian bella.
Aibu sana sana tu mngeacha sms isomwe hadi mwisho tu!
Wakati sms inaendelea kusomwa ghafla jamaa wa ilemelea mwanza wakakata matangazo na kuweka ji-song la christian bella.
Aibu sana sana tu mngeacha sms isomwe hadi mwisho tu!