Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Mbunge wa Bumbuli, Mh. January Makamba kasema wazi kwamba, akiwa Mbunge, atahakikisha kampuni ya kisheria ya Rex Attorney's haipati kazi yoyote ndani ya serikali, kwani wangekuwa Makini kusingetoea hii mikataba tata ya Dowans, Richmond na mengine ambayo rex imeshiriki. Kwa maana nyingine, January anadai kwamba Mikataba yote iliyosimamiwa na Rex, yote imezua utata. Adai rais alipotoshwa kumteua mama sinare wa rex attorbey kuwa balozi wa tanzania uingereza.
MY TAKE:
Wanajamvini, January ni mtendaji au tu ni bifu zake na Rex ili JK amuone? JE JANUARY ANATETEA MASLAHI YA WATANZANIA AU YA SHEMEJI YAKE ROSTAM na Mafisadi wengine, kwani anakoelekea ni kubaya. kaanza kuropoka mapema mno....
MY TAKE:
Wanajamvini, January ni mtendaji au tu ni bifu zake na Rex ili JK amuone? JE JANUARY ANATETEA MASLAHI YA WATANZANIA AU YA SHEMEJI YAKE ROSTAM na Mafisadi wengine, kwani anakoelekea ni kubaya. kaanza kuropoka mapema mno....