Revolution strategy: Kutoka kuchagua viongozi wa wanyonge hadi kumaliza unyonge wenyewe

denooJ demokrasia na maendeleo ni vitu 'parallel ' sio 'perpendicular'. Kila kimoja kina umuhimu wake kivyake lakini kuongezeka kwa kimoja hakusababishi kuongezeka kwa kingine na kinyume chake. Kwa lugha rahisi ni chai na mkate, kuongezeka kwa chai hakupelekei kuongezeka kwa mkate japo ukila mkate na chai inapendeza zaidi.
 
denooJ demokrasia na maendeleo ni vitu 'parallel ' sio 'perpendicular'. Kila kimoja kina umuhimu wake kivyake lakini kuongezeka kwa kimoja hakusababishi kuongezeka kwa kingine na kinyume chake. Kwa lugha rahisi ni chai na mkate, kuongezeka kwa chai hakupelekei kuongezeka kwa mkate japo ukila mkate na chai inapendeza zaidi.
Hapana.

Maendeleo siku zote hayaji bila kuwa na maelewano, kwasababu maendeleo hayatoki kwa mtu mmoja, maendeleo huja baada ya kikundi fulani kukubaliana, mfano hizo pesa za maendeleo hutoka serikalini baada ya kupitishwa na bunge kwenye bajeti (huko kote hutawaliwa na majadiliano kwanza) na hiyo ndio demokrasia.

Huo mfano wako wa chai na mkate hapa haupo, na wewe utakuwa umepotoshwa na huu utawala uliopo sasa kwasababu maamuzi yote yanatoka kwa mtu mmoja, mfano kujenga Chato Airport na mengine, lakini kiuhalisia hali haitakiwi kuwa hivyo, hayo maamuzi ya ujenzi yanatakiwa kupitishwa na bunge kwanza, maamuzi ya wengi kwenye jambo la maendeleo ndio wapewe( demokrasia).
 
Back
Top Bottom