Revolution Nchi za Kiarabu; Ni Mpango wa Matajiri na Wall Street

Haki

JF-Expert Member
Jan 14, 2009
356
17
Bush alipoulizwa mwaka 2001 kwamba "Je Saddam Hussein anahusika vipi na 9/11?" Alijibu "Tunakwenda Iraq kwa sababu ni mafuta ya Iraq ndiyo yatakayolipa gharama za vita vya Afghanistan."
Bush aliweza kuwatajirisha matajiri wakubwa duniani kwa njia ya kupandisha bei za mafuta.

Sasa hivi vigogo vya Wall Street haviingizi pesa kama zamani alipokuwa baba yao Mzee Bush. Njia pekee iliyobakia ni kuDestabilize MidEast ili bei ya mafuta ipande. Sasa hivi bei ya mafuta ishaanza kupanda duniani. Revolution zinazotokea duniani zimepangwa na vigogo vya Marekani kwa kutumia njia ya Facebook, Twitter.

Nchi pekee ya Afrika iliyopata "Uhuru" kwa kushabikiwa na Marekani na Wazungu ni South Sudan. Yote kwa sababu South Sudan wanamafuta.

Swali:Kwanini Anderson Cooper (CNN) haji Arusha au Mwanza kutangaza live maandamano?

Jibu: Hatuna Mafuta na interest za kubwa za Marekani na EU.
 
Bush alipoulizwa mwaka 2001 kwamba "Je Saddam Hussein anahusika vipi na 9/11?" Alijibu "Tunakwenda Iraq kwa sababu ni mafuta ya Iraq ndiyo yatakayolipa gharama za vita vya Afghanistan."
Bush aliweza kuwatajirisha matajiri wakubwa duniani kwa njia ya kupandisha bei za mafuta.

Sasa hivi vigogo vya Wall Street haviingizi pesa kama zamani alipokuwa baba yao Mzee Bush. Njia pekee iliyobakia ni kuDestabilize MidEast ili bei ya mafuta ipande. Sasa hivi bei ya mafuta ishaanza kupanda duniani. Revolution zinazotokea duniani zimepangwa na vigogo vya Marekani kwa kutumia njia ya Facebook, Twitter.

Nchi pekee ya Afrika iliyopata "Uhuru" kwa kushabikiwa na Marekani na Wazungu ni South Sudan. Yote kwa sababu South Sudan wanamafuta.

Swali:Kwanini Anderson Cooper (CNN) haji Arusha au Mwanza kutangaza live maandamano?

Jibu: Hatuna Mafuta na interest za kubwa za Marekani na EU.

DUh bingwa, inamaana wanachokitafuta ni kuwaridhisha watu wa 'magharibi'? Yaani hujaona tatizo kwa mfano LIBYA raisi kuongoza nchi kwa miaka 42???? Mhh nina wasiwasi na IQ yako!
 
Tatizo ni kwamba siku zote masikini humlaumu tajiri kwa umasikini wake. Ni masikini yule tu anaye tambua kwamba si kulaumu bali bidii ndiyo itamkwamua huwa ndiyo hufanikiwa. Siku zote mtu akiwa wa kulaumu wengine basi kamwe hafiki popote. Na ndilo tatizo la wengi wetu. Hatujiangalii wenyewe.

Sisemi kwamba Wazungu hawana makosa yao. Wazungu ni wanafiki na huangalia maslahi yao zaidi. Lakini hata sisi tunge kuwa katika nafasi yao tunge fanya vivyo hivyo.

Mapinduzi ya nchi za Kiarabu ni kwa sababu ya wananchi. Wananchi walisha choshwa na hali yao. Kama wananchi wange kuwa wame ridhika na maisha yao basi kamwe hata mzungu angesema nini wasinge fanya mapinduzi. Nikupe mfano. Kama mtu umemsaliti mkeo kwa kwenda nje ya ndoa mtu aka kushtaki kwa mkeo kuvunjika kwa ndoa utamlaumu nani? Wewe au aliye shtaki? Mimi nitamlaumu msaliti kwani bila kufanya hivyo hata huyo alieenda kushtaki asingekua na cha kusema.
 
Sisemi kwamba Wazungu hawana makosa yao. Wazungu ni wanafiki na huangalia maslahi yao zaidi. Lakini hata sisi tunge kuwa katika nafasi yao tunge fanya vivyo hivyo.

Mapinduzi ya nchi za Kiarabu ni kwa sababu ya wananchi. Wananchi walisha choshwa na hali yao. Kama wananchi wange kuwa wame ridhika na maisha yao basi kamwe hata mzungu angesema nini wasinge fanya mapinduzi.
Mkuu.
Sisi kama wananchi kweli tuna sehemu yetu katika kuchangia matatizo yetu...pia haya ya viongozi kufikiri wao tu ndio wenye kujua kila kitu na haki ya kuongoza watakavyo haikubaliki ..lakini kuna na hili la wababe wa dunia kuingilia nchi nyingi na kuziharibu kwa maslahi yao. Unakumbuka Chavez alimpa Obama kitabu chenye kuonesha USA inavyozivuruga nchi za Amerika Kusini?Ona hii filamu.


 
Last edited by a moderator:
Mkuu Nonda kama nilivyo sema sija bisha involvement ya West nakubali. Ila viongozi wana changia kiasi kikubwa. Kama ume sikiliza video yote jamaa kasema kwamba hela zina benefit makampuni ya kizungu na familia chache za kitajiri kwenye nchi hizo masikini. Hizo familia chache ni zipi kama sio za viongozi (na baadhi ya wafanya biashara?)? Kumbe tunajua na tunaendelea kukubali kuwa exploited? Kumbe tuna jua hii misaada siyo misaada lakini kila siku tuna tembeza bakuli?
 
Kama kweli waafrika tunataka kuendelea tuamke, hii biashara ya kutafuta mchawi kila kukicha wakati matatizo yetu tunayasababisha sisi wenyewe haitotufikisha popote!!!! Mtu kama ben Ally wa tunisia, na yeye tuseme kuwa ni njama za magharibi... tuachane kabisa na mawazo ya ki***zi ili tuweze kuendelea!!!!
 
Bush alipoulizwa mwaka 2001 kwamba "Je Saddam Hussein anahusika vipi na 9/11?" Alijibu "Tunakwenda Iraq kwa sababu ni mafuta ya Iraq ndiyo yatakayolipa gharama za vita vya Afghanistan."
Bush aliweza kuwatajirisha matajiri wakubwa duniani kwa njia ya kupandisha bei za mafuta.

Sasa hivi vigogo vya Wall Street haviingizi pesa kama zamani alipokuwa baba yao Mzee Bush. Njia pekee iliyobakia ni kuDestabilize MidEast ili bei ya mafuta ipande. Sasa hivi bei ya mafuta ishaanza kupanda duniani. Revolution zinazotokea duniani zimepangwa na vigogo vya Marekani kwa kutumia njia ya Facebook, Twitter.

Nchi pekee ya Afrika iliyopata "Uhuru" kwa kushabikiwa na Marekani na Wazungu ni South Sudan. Yote kwa sababu South Sudan wanamafuta.

Swali:Kwanini Anderson Cooper (CNN) haji Arusha au Mwanza kutangaza live maandamano?

Jibu: Hatuna Mafuta na interest za kubwa za Marekani na EU.

Ebu lete reference ya Bush akiongea hayo maneno? unaonekana kupoteza kumbukumbu ya hawa jamaa wanao lalamikiwa na wananchni yao, yaani hujui kuwa kinacho waponza ni dharau yao kwa wanachni ya chini? kujilimbikizia mali nyingi na kujisahau kiasi cha kufikia kuwa madaraka ni yake yeye na familia yake tu
 
Unachoongea si kweli labda kwa ushabiki tu!

Ukweli ni kwamba population ya hizi nchi imebadilika na vijana wengi wanapenda uhuru badala ya hawa madicteta kuwatawala. Hakuna mtu duniani asiyependa democrasia!!. Kama ni mafuta wazingeanzia Tunisia na Egypt!! wangeanzia Saudi Arabia. Pili mimi naishi hapa Houston,TX kwa miaka 13 na kuna kampuni za mafuta kuliko sehemu yeyote duniani hapa lakini ukweli ni kwamba bei ya mafuta ikipanda sana haisaidii hii nchi kwasababu inapunguza mzunguko wa pesa hivyo kusema kwamba bei ikiwa juu sana ni nzuri kwa marekani si kweli hata Wall Street stock hazijapanda bali zimeshuka kwa 3%. Vilevile bei ikishuka sana si vizuri kwasababu kuna kampuni nyingi hapa hivyo kwa kiwango cha $80 kwa baro ni poa. Ni lazima tuelewe Africa nzima kuna mwamko wa vijana waliochoka madicteta na walarushwa hata Tanzania wapo na hawa vijana iko siku watachukua nchi. Hata Ghadafi yupo kwenye wakati mgumu never say never democrasia itashinda tu in a long run!!
 
Bush alipoulizwa mwaka 2001 kwamba "Je Saddam Hussein anahusika vipi na 9/11?" Alijibu "Tunakwenda Iraq kwa sababu ni mafuta ya Iraq ndiyo yatakayolipa gharama za vita vya Afghanistan."
Bush aliweza kuwatajirisha matajiri wakubwa duniani kwa njia ya kupandisha bei za mafuta.

Sasa hivi vigogo vya Wall Street haviingizi pesa kama zamani alipokuwa baba yao Mzee Bush. Njia pekee iliyobakia ni kuDestabilize MidEast ili bei ya mafuta ipande. Sasa hivi bei ya mafuta ishaanza kupanda duniani. Revolution zinazotokea duniani zimepangwa na vigogo vya Marekani kwa kutumia njia ya Facebook, Twitter.

Nchi pekee ya Afrika iliyopata "Uhuru" kwa kushabikiwa na Marekani na Wazungu ni South Sudan. Yote kwa sababu South Sudan wanamafuta.

Swali:Kwanini Anderson Cooper (CNN) haji Arusha au Mwanza kutangaza live maandamano?

Jibu: Hatuna Mafuta na interest za kubwa za Marekani na EU.

udini
 
Unachoongea si kweli labda kwa ushabiki tu!

Ukweli ni kwamba population ya hizi nchi imebadilika na vijana wengi wanapenda uhuru badala ya hawa madicteta kuwatawala. Hakuna mtu duniani asiyependa democrasia!!. Kama ni mafuta wazingeanzia Tunisia na Egypt!! wangeanzia Saudi Arabia. Pili mimi naishi hapa Houston,TX kwa miaka 13 na kuna kampuni za mafuta kuliko sehemu yeyote duniani hapa lakini ukweli ni kwamba bei ya mafuta ikipanda sana haisaidii hii nchi kwasababu inapunguza mzunguko wa pesa hivyo kusema kwamba bei ikiwa juu sana ni nzuri kwa marekani si kweli hata Wall Street stock hazijapanda bali zimeshuka kwa 3%. Vilevile bei ikishuka sana si vizuri kwasababu kuna kampuni nyingi hapa hivyo kwa kiwango cha $80 kwa baro ni poa. Ni lazima tuelewe Africa nzima kuna mwamko wa vijana waliochoka madicteta na walarushwa hata Tanzania wapo na hawa vijana iko siku watachukua nchi. Hata Ghadafi yupo kwenye wakati mgumu never say never democrasia itashinda tu in a long run!!

Nakubaliana na wewe kwamba hizi population za nchi za kiarabu zimebadilika. Lakini mbona hatuoni mapinduzi Uganda, Zimbabwe? Je hamna vijana? Kwanini focus ya West ipo kwenye mtandao wa Mafuta tu? Kumbuka Egypt ni key point ya kusafirisha mafuta through suez canal.
Mbona hatumuoni Anderson Cooper (CNN) Mwanza au Arusha?

Soma head ya article, ni vigogo wa nchi ndiyo wanaopata faida ya mafuta yanapopanda bei.
Unaposema mafuta yakipanda bei, Wall Street hainufaki siyo kweli. Kumbuka ni Supply na demand. Makampuni ya mafuta yanatajirika kwa sababu, wananunua mafuta wakati supply inapokuwa high and price inakuwa low. Wanachofanya ni kuexcess inventory.
Baada ya hapo wanachofanya ni kuangalia Headlines za fujo, vita kutoka MidEast ili wapandishe bei.
Kumbuka Katrina, makampuni ya mafuta yalitajirika kwa kupandisha bei kwa njia ya kupandisha bei bila ya sababu. Matokeo yake, kulikuwa na Congress hearing in USA kuhusu hiyo scam ambapo makapuni ya mafuta yalikiri kupandisha bei ya mafuta bila ya sababu.
 
Wewe ni Muhuni wa mtaani tu unaye ganga njaa kwa lolote na chochote.
Tuondolee udhia wako hapa.

Bush alipoulizwa mwaka 2001 kwamba "Je Saddam Hussein anahusika vipi na 9/11?" Alijibu "Tunakwenda Iraq kwa sababu ni mafuta ya Iraq ndiyo yatakayolipa gharama za vita vya Afghanistan."
Bush aliweza kuwatajirisha matajiri wakubwa duniani kwa njia ya kupandisha bei za mafuta.

Sasa hivi vigogo vya Wall Street haviingizi pesa kama zamani alipokuwa baba yao Mzee Bush. Njia pekee iliyobakia ni kuDestabilize MidEast ili bei ya mafuta ipande. Sasa hivi bei ya mafuta ishaanza kupanda duniani. Revolution zinazotokea duniani zimepangwa na vigogo vya Marekani kwa kutumia njia ya Facebook, Twitter.

Nchi pekee ya Afrika iliyopata "Uhuru" kwa kushabikiwa na Marekani na Wazungu ni South Sudan. Yote kwa sababu South Sudan wanamafuta.

Swali:Kwanini Anderson Cooper (CNN) haji Arusha au Mwanza kutangaza live maandamano?

Jibu: Hatuna Mafuta na interest za kubwa za Marekani na EU.
 
Mkuu Haki nadhani ume soma hizo source zako bila kuchaganua mwenyewe. Una dai nchi za magharibi ndizo zime engineer mapinduzi ya nchia kama Tunisia, Egypt na sasa Libya. Ila una sahau kitu kimoja. Mubaraka alikua ally mkubwa wa Marekani na hata Israel. Na walikua wana jaribu kuta futa njia za kumuokoa behind closed doors na ndiyo maana in public walikuwa wana toa kauli neural bila kuonyesha wazi wazi kama wana support wananchi au Mubarak. Je una semaje juu ya hilo?
 
Haki ni mlevi wa kahawa vijiweni ni vema tumpuuze.

Mkuu Haki nadhani ume soma hizo source zako bila kuchaganua mwenyewe. Una dai nchi za magharibi ndizo zime engineer mapinduzi ya nchia kama Tunisia, Egypt na sasa Libya. Ila una sahau kitu kimoja. Mubaraka alikua ally mkubwa wa Marekani na hata Israel. Na walikua wana jaribu kuta futa njia za kumuokoa behind closed doors na ndiyo maana in public walikuwa wana toa kauli neural bila kuonyesha wazi wazi kama wana support wananchi au Mubarak. Je una semaje juu ya hilo?
 
Bush alipoulizwa mwaka 2001 kwamba "Je Saddam Hussein anahusika vipi na 9/11?" Alijibu "Tunakwenda Iraq kwa sababu ni mafuta ya Iraq ndiyo yatakayolipa gharama za vita vya Afghanistan."
Bush aliweza kuwatajirisha matajiri wakubwa duniani kwa njia ya kupandisha bei za mafuta.

Sasa hivi vigogo vya Wall Street haviingizi pesa kama zamani alipokuwa baba yao Mzee Bush. Njia pekee iliyobakia ni kuDestabilize MidEast ili bei ya mafuta ipande. Sasa hivi bei ya mafuta ishaanza kupanda duniani. Revolution zinazotokea duniani zimepangwa na vigogo vya Marekani kwa kutumia njia ya Facebook, Twitter.

Nchi pekee ya Afrika iliyopata "Uhuru" kwa kushabikiwa na Marekani na Wazungu ni South Sudan. Yote kwa sababu South Sudan wanamafuta.

Swali:Kwanini Anderson Cooper (CNN) haji Arusha au Mwanza kutangaza live maandamano?

Jibu: Hatuna Mafuta na interest za kubwa za Marekani na EU.

I think you got this wrong. I know there are some opportunists in the middle of all these revolutions but people are crying hard for democratic reforms and better lives. I can't see the proof in your words. Americans themselves don't like what they see and especially in Egypt. Lets support people who are seeking better lives because the time is here and we can't stop this moment. This is for Tanzanians too, lets walk up and enjoy the aromas of freedom.
 
Mkuu Nonda kama nilivyo sema sija bisha involvement ya West nakubali. Ila viongozi wana changia kiasi kikubwa. Kama ume sikiliza video yote jamaa kasema kwamba hela zina benefit makampuni ya kizungu na familia chache za kitajiri kwenye nchi hizo masikini. Hizo familia chache ni zipi kama sio za viongozi (na baadhi ya wafanya biashara?)? Kumbe tunajua na tunaendelea kukubali kuwa exploited? Kumbe tuna jua hii misaada siyo misaada lakini kila siku tuna tembeza bakuli?
Mkuu.
Mimi pia sikubisha kitu katika uliyoyasema.Wala sijawatetea viongozi wetu. Lakini nimeweka hiyo video ili tujue pia kuwa jamaa wababe huwa hawapendi kutuona tunautulivu na tunapiga hatua, wakipata mwanya wanaingia kuvurua ili wavune shamba la bibi...pia nimesema sisi kama wananchi tunaulea uovu wa viongozi wetu kwa muda mrefu bila ya kuwachukua hatua.
 
Bush alipoulizwa mwaka 2001 kwamba "Je Saddam Hussein anahusika vipi na 9/11?" Alijibu "Tunakwenda Iraq kwa sababu ni mafuta ya Iraq ndiyo yatakayolipa gharama za vita vya Afghanistan."
Bush aliweza kuwatajirisha matajiri wakubwa duniani kwa njia ya kupandisha bei za mafuta.

Sasa hivi vigogo vya Wall Street haviingizi pesa kama zamani alipokuwa baba yao Mzee Bush. Njia pekee iliyobakia ni kuDestabilize MidEast ili bei ya mafuta ipande. Sasa hivi bei ya mafuta ishaanza kupanda duniani. Revolution zinazotokea duniani zimepangwa na vigogo vya Marekani kwa kutumia njia ya Facebook, Twitter.

Nchi pekee ya Afrika iliyopata "Uhuru" kwa kushabikiwa na Marekani na Wazungu ni South Sudan. Yote kwa sababu South Sudan wanamafuta.

Swali:Kwanini Anderson Cooper (CNN) haji Arusha au Mwanza kutangaza live maandamano?

Jibu: Hatuna Mafuta na interest za kubwa za Marekani na EU.


Haki,

Kaka nimependa thread yako . Naelewa sana janja ya hawa mazungu ( kama nyerere alivyopenda kuwaita ) .Walikutana wakatumia societies zao kutengeneza mfumo wa kifedha duniani . Wakaweka IMF ili maslai yao yaendelee kudumu .Ni kwa maslai yao tu wanasimama kidete .But the close we come to understand them,the close we will figure another way out of them.
 
nchi nyingi za kiarabu zilikua zinapumbazwa kua magharibi ni wabaya na anti-islam kiasi viongizi wao walikua wanatumia opportunity hiyo kuwakandamiza wananchi wao na kujilimbikizia mali lakini sasa hali imefika pabaya uelewa umeongezeka na kigezo chao sasa haki hold water dhidi ya umaskini wa wanachi walio nao! ili liwe fundishpo jamani kwa wale watanzania wenzetu waliokua wanadhan kua nchi za kiarabu ni matajiri sana wananchi wake wote wako na hali nzuri kumbe ni kinyume kabisa umaskini uko mkali tu na watu sasa slogan ya kutokufuat mifumo ya west kua ina haribu uislam hai hold water mbele ya njaa!
 
Unataka kusema waarabu hawana akili kuliko wazungu? Kwa kiasi kikubwa kama unaweza kudanganywa ina maana anayekudanganya kakuzidi maarifa.
 
Nakubaliana na wewe kwamba hizi population za nchi za kiarabu zimebadilika. Lakini mbona hatuoni mapinduzi Uganda, Zimbabwe? Je hamna vijana? Kwanini focus ya West ipo kwenye mtandao wa Mafuta tu? Kumbuka Egypt ni key point ya kusafirisha mafuta through suez canal.
Mbona hatumuoni Anderson Cooper (CNN) Mwanza au Arusha?

Soma head ya article, ni vigogo wa nchi ndiyo wanaopata faida ya mafuta yanapopanda bei.
Unaposema mafuta yakipanda bei, Wall Street hainufaki siyo kweli. Kumbuka ni Supply na demand. Makampuni ya mafuta yanatajirika kwa sababu, wananunua mafuta wakati supply inapokuwa high and price inakuwa low. Wanachofanya ni kuexcess inventory.
Baada ya hapo wanachofanya ni kuangalia Headlines za fujo, vita kutoka MidEast ili wapandishe bei.
Kumbuka Katrina, makampuni ya mafuta yalitajirika kwa kupandisha bei kwa njia ya kupandisha bei bila ya sababu. Matokeo yake, kulikuwa na Congress hearing in USA kuhusu hiyo scam ambapo makapuni ya mafuta yalikiri kupandisha bei ya mafuta bila ya sababu.

Hapo kwenye red ndugu ma brother/sister, soon they will be here!!!! Si unakumbuka Tz kuna Uranium ya kumwaga? watakuja tu. Tutaanza kuuana then wao kiulaini watakuja kutuamulia ugomvi wetu at our own cost! mbona zamani hukusikiaga hizi vurugu za sasa? just think of it.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom