Bush alipoulizwa mwaka 2001 kwamba "Je Saddam Hussein anahusika vipi na 9/11?" Alijibu "Tunakwenda Iraq kwa sababu ni mafuta ya Iraq ndiyo yatakayolipa gharama za vita vya Afghanistan."
Bush aliweza kuwatajirisha matajiri wakubwa duniani kwa njia ya kupandisha bei za mafuta.
Sasa hivi vigogo vya Wall Street haviingizi pesa kama zamani alipokuwa baba yao Mzee Bush. Njia pekee iliyobakia ni kuDestabilize MidEast ili bei ya mafuta ipande. Sasa hivi bei ya mafuta ishaanza kupanda duniani. Revolution zinazotokea duniani zimepangwa na vigogo vya Marekani kwa kutumia njia ya Facebook, Twitter.
Nchi pekee ya Afrika iliyopata "Uhuru" kwa kushabikiwa na Marekani na Wazungu ni South Sudan. Yote kwa sababu South Sudan wanamafuta.
Swali:Kwanini Anderson Cooper (CNN) haji Arusha au Mwanza kutangaza live maandamano?
Jibu: Hatuna Mafuta na interest za kubwa za Marekani na EU.
Bush aliweza kuwatajirisha matajiri wakubwa duniani kwa njia ya kupandisha bei za mafuta.
Sasa hivi vigogo vya Wall Street haviingizi pesa kama zamani alipokuwa baba yao Mzee Bush. Njia pekee iliyobakia ni kuDestabilize MidEast ili bei ya mafuta ipande. Sasa hivi bei ya mafuta ishaanza kupanda duniani. Revolution zinazotokea duniani zimepangwa na vigogo vya Marekani kwa kutumia njia ya Facebook, Twitter.
Nchi pekee ya Afrika iliyopata "Uhuru" kwa kushabikiwa na Marekani na Wazungu ni South Sudan. Yote kwa sababu South Sudan wanamafuta.
Swali:Kwanini Anderson Cooper (CNN) haji Arusha au Mwanza kutangaza live maandamano?
Jibu: Hatuna Mafuta na interest za kubwa za Marekani na EU.