Revenue Intelligence Bureau (RIB) suluhisho la upotevu wa mapato ya Serikali

CCM Music

JF-Expert Member
Dec 5, 2018
1,036
1,782
Ila ana point kweli huyu mwamba, maana hv ndo tunaweza kuepukana na simcard tax za Mzee Mwigu.

Kwa hio kajamaa kanamaanisha na sisi Tanzania tutakuwa na ka CIA ketu na ka FBI au sio? Ila sisi ni kwenye mambo ya hela.

Sawa, nimekuelewa.
===
REVENUE INTELLIGENCE BUREAU (RIB)
(Kumradhi Mama, naomba niandike kwa lugha za vijana wa mitandaoni) Mama Shikamoo!Mama, ni wazi kuwakatika ulimwengu wa sasaTaifa letu linaendelea kupoteza mapato mengi kila siku. Ni dhahiri pia kuwa Taifa letukwa kila siku linazidi kukosa ubunifu katika kubunivyanzovipyambali mbali vya mapato.Kila sekunde Serikali inapoteza mapato yake badala ya kuingiza mapato yake.

NINI KIFANYIKE?
Kifanyike hivi, Mama. Kiundwe taasisi inayofanya kazi kwa weledi mkubwa na kwa uhuru mkubwa bilakuingiliwakisiasakwa namna yeyote ile. Taasisi hii iitwe REVENUE INTELLIGENCE BUREAU.

KAZI YA YAKE NI NINI?
Kazi yake ni kufanyamambo mawili tu:

1. Kubaini upotevu wa mapato ya Serikali:
Kuhakikisha kuwa usiku na mchana inafanya kazi ya kubaini mianya ya upotevuwa mapato ya Serikali. Yaani, Taasisihili kwa kutumia uwezo wa kiintelijensiaama uwezo wowote uleinapaswa kuhakikisha kuwa inaweza kubaini namna ambavyo Serikali inakoseshwa/inapoteza mapato yake kutokana na shughuli mbali mbali za kiuchumi zinazoendelea hapa nchini. Shughuli hizi za kiuchumi zinaweza kuwa za umma ana za watu binafsi. Mfano mianya ya ukwepaji kodi, ama ukusanyaji wowote ule wa mapato ya Serikali.Shirika hili hufanya kazi saa 24 kwa siku, yaani usiku na mchana.

2. Kubaini/kubuni vyanzo vipya vya mapato kwa ajili ya Serikali:
Taasisi hii inapaswa kusaidia Serikali kuhakikisha kuwa inabaini vyanzo mbali mbalivipyavya mapato pamoja na ku coordinate na ku exploit vyanzo hivyo vya mapato ili Serikali iweze kujiongezea mapato yakezaidi. Taasisi hii isiwe taasisi ya kuangazia utozaji ushuru, ama ukusanyaji kodi pekee KAMA ILIVYOZOELEKA bali iwe ni taasisi inayoangazia uanzishwaji wa miradi yenye tija ki uchumi kwa nchi na kwa watu wetu.

Katika Dunia ya leo ni muhimu sana kuwepo na taasisi inayojishughulisha moja kwa moja na masuala muhimu kama haya badala ya kuacha mambo haya muhimu mikononimwa wanasiasa ambaohuja na kupotea kutokana na upepo waki siasa.Japokuwa kuna mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) ambayo kimsingi hujishughulisha zaidi na ukusanyaji kodi, lakini mamlaka hii bado haijishughulishi kwa mapana yake katika ukusanyaji wa mapato mbali mbali ya Serikali zaidi ya ukusanyaji wa kodi pekee.

Hii ni tofauti na REVENUE INTELLIGENCE BUREAU ambayo yenyewe itakuwa na mamlaka ya kubaini upotevu wa mapato ya Serikali katika kila senti ya Serikali bila kujali kama ni kodi, ushuru ama faini mbali mbali. Na kama haitoshi ina jukumupia la kuhakikisha ya kuwa Serikali inapata vyanzo vingine vipya vya mapato kwa ajili ya Serikalibila kuchonganisha uhusiano wa Serikali na watu wake.

# Suluhu is the legacy of Samia.
# New Tanzania –Tanzania Mpya ya Samia.
Wasalaam,

ONE VOTE COUNTS TANZANIA (IDARA KUU HUDUMA KWA WANANCHI–TANZANIA).Twitter: ovctanzania, Instagram: ovctanzania, Email: ovctanzania@gmail.com SIMU: +255 (0) 785 29 45 45.
 

Attachments

  • REVENUE INTELLIGENCE BUREAU.pdf
    541.6 KB · Views: 14
Tanzania hatuna taasis ianyofanana kikazi na FBI. Only CIA maybe since tuna intelligence institution TISS lakin hayo mashirika ya wenzetu ya department zinazo deal na economic issues.

hakuna aja ya kuanzisha hiyo taasisi. TRA Wawezeshwe au hizo tassisi ndani ya mashirika mengine zipewe nguvu.
 
Tanzania hatuna taasis ianyofanana kikazi na FBI.
Only CIA maybe since tuna intelligence institution TISS
Lakin hayo mashirika ya wenzetu ya department zinazo deal na economic issues.

hakuna aja ya kuanzisha hiyo taasisi. TRA Wawezeshwe au hizo tassisi ndani ya mashirika mengine zipewe nguvu.
What's your stand? Unasema hatuna taasisi km za wenzetu, muda huo huo unasema hakuna haja ya kuanzisha taasisi kama hiyo.
Kwani kwa wenzetu hakuna TRA, sasa why wawe na FBI? Watanzania bado sana ki fikra ndo maana CCM tutaendelea kutawala miaka nenda rudi maana ni hatari mno kuwakabidhi nchi wapinzani waaio na ajenda za kueleweka
 
What's your stand? Unasema hatuna taasisi km za wenzetu, muda huo huo unasema hakuna haja ya kuanzisha taasisi kama hiyo.
Kwani kwa wenzetu hakuna TRA, sasa why wawe na FBI? Watanzania bado sana ki fikra ndo maana CCM tutaendelea kutawala miaka nenda rudi maana ni hatari mno kuwakabidhi nchi wapinzani waaio na ajenda za kueleweka
ww hata huelewi. FBI wanafanya kazi tofauti na IRS.
kwanza jua msingi wa kuanzishwa FBI ,Na misingi ya IRS ni vitu viwili tofauti.

kwann nasema hakuna haja? kwanza FBI hawahusiki direct na kodi.
ila wakiitwa kuchunguza udanganyifu wana kitengo ndani ya FBI kinachodili na financial na economic issues.

why tuanzishe taasisi kama hiyo wkt agency yetu ya TISS . wanaweza kuwa na kitengo kinacho deal na hayo mambo?

kwani lazima uanzishe taasisi nyingine?
 
TISS wamefanya nini so far kuepusha mapato kupotea? Nipe jibu.
siko TISS, so siwezijua magnitude ya involvment yao kwenye mambo.
and basicaly si kazi yao.
Dhumuni la kuanzishwa TISS si ku deal na mapato.
wanaotakiwa ku deal na upotevu ni TRA na department za wizara.
TISS wanashirikishwa pale inapo wabidi
Wenzetu IRS ,HMRC wamewezaje kudhibiti upotevu mapato?
Hizi nchi hawakuanzisha shirika lingine kama unavyotaka. ila wali improve na kuyapa nguvu yaliyopo.

simple. Mifumo..Wenzetu wana implement the very best..and maybe top notch revenue collections systems.
 
siko TISS, so siwezijua magnitude ya involvment yao kwenye mambo.
and basicaly si kazi yao..
Nilichobaini kwako ni hiki, na naomba usichukulie km dharau 'that very little thing you know is limiting your perspective' na ndio maana ni vigumu sana kuelewa why the pdf guy didn't think about TRA, TISS and the likes, and I can see his/her point.

Our country is domant kwenye mambo mengi regardless of Uhuru since 1961, lkn what if waliokabidhiwa vitengo wana perspective kama yako? How should we be in the top notch?
 
fanya tafiti vizuri ,Tra wana tax investigation unit, business intelligency unit, ant smuggling unit
Najua sana haya mambo....

Tatizo kubwa la nchi hii kama hujagundua ni kukosekana checks and balances kwenye taasisi zetu.

Mm binafsi napenda kuwepo na uwanda mpana wa walau uwepo na checks and balances japo hata kwa mbali.

Lkn pia TRA wanahusika na kodi tu. Je, wanahusika kuhusu ushuru? Je, wanahusika kubuni vyanzo vipya vya mapato? Je, wanahusika kufahamu kama kuna let say shirika ama Taasisi ya umma ambayo inanyonya mapato ya Serikali bila tija? Je, inahusika kujua km kuna viongozi kwenye taasisi zetu ambao wanafanya matumizi ya hovyo hovyo kukosesha mapato serikali? Hakuna.

Na ndio jukumu la Revei intelijensia Bureau
 
Kubaini upotevu wa Mapato ya Serikali-CAG huwa anafanya nini?TRA Investigative Unit?FIU?BoT nk?


Kubuni vyanzo vipya-TRA na Wizara ya fedha na Wizara zingine huwa wanafanya nini?

Hii nchi ina vyombo vya kufanya hizo kazi tayari...


Nashindwa kuona kitu kipya ambacho hakifanywi tayari

labda mwandishi hana data/taarifa
 
Kubaini upotevu wa Mapato ya Serikali-CAG huwa anafanya nini?TRA Investigative Unit?FIU?BoT nk?


Kubuni vyanzo vipya-TRA na Wizara ya fedha na Wizara zingine huwa wanafanya nini?

Hii nchi ina vyombo vya kufanya hizo kazi tayari...


Nashindwa kuona kitu kipya ambacho hakifanywi tayari

labda mwandishi hana data/taarifa
Ana point hata kama vyote hivyo vipo na vingine juu
 
Tanzania hatuna taasis ianyofanana kikazi na FBI.
Only CIA maybe since tuna intelligence institution TISS
Lakin hayo mashirika ya wenzetu ya department zinazo deal na economic issues.

hakuna aja ya kuanzisha hiyo taasisi. TRA Wawezeshwe au hizo tassisi ndani ya mashirika mengine zipewe nguvu.
Yah labda Taasisi ziboreshwe ama kuongezewa nguvu tu

Serikali ina mkono mrefu nyie acheni tu
 
Ila ana point kweli huyu mwamba, maana hv ndo tunaweza kuepukana na simcard tax za Mzee Mwigu.

Kwa hio kajamaa kanamaanisha na sisi Tanzania tutakuwa na ka CIA ketu na ka FBI au sio? Ila sisi ni kwenye mambo ya hela.

Sawa, nimekuelewa.
Hata uweke taasisi ngapi,kama watendaji sio waadirifu,tutarudi pale pale,zamani shughuri za madawa ya kulevya,na rushwa zilikuwa zinafanywa na jeshi la polisi,wakubwa wakaona waunde Takukuru,na Anti Drugs enforcement agency,lakini madudu yapo pale pale,
Wale wa kupambana na Rushwa,ndio wanaobambikizia watu kesi za kuhujumu uchumi,Ili wawakamue pesa.
 
Ila ana point kweli huyu mwamba, maana hv ndo tunaweza kuepukana na simcard tax za Mzee Mwigu.

Kwa hio kajamaa kanamaanisha na sisi Tanzania tutakuwa na ka CIA ketu na ka FBI au sio? Ila sisi ni kwenye mambo ya hela.

Sawa, nimekuelewa.

Bila vigogo wa nchi wakiwamo Mawaziri, Wabunge na wa namna hiyo kulipa kodi stahiki, pia wale wanaoitwa wanyonge, mengine yote hayo ni utopolo mtupu!
 
Tofautisha auditing na intelligence
Intelligence itakuja na lipi jipya ambalo yule CAG hafanyi?

Umezungumzia checks and balance, nani huwa anasemea hayo?

ameandika kubaini upotevu wa mapato kila mwaka CAG huwa anazungumzia hivyo vitu au la?..nani ana uwezo wa kuona mapato na matumizi yote ya serikali na kuyasemea?

vyanzo vipya vya mapato unahisi kila mwaka kina nani wanatafiti na kuja na vitu vipya?.
Unahisi Ministry of Finance na BoT wana kazi gani?
 
Back
Top Bottom