Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,696
- 225,392
Hata sisi tukipenda mnapaswa mtulie.Mkipendwa TULIENI.
#YNWA
Kuna wanaume pia ni wasumbufu sana aisee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata sisi tukipenda mnapaswa mtulie.Mkipendwa TULIENI.
#YNWA
I feel you.Kuna watu humu wananiita mimi katili lakin wanasahau ukatili niliifanyiwa na huyu binti, mazee huyu binti nimewahi kumpa million 1 na laki 2 kwaajili ya kumsaidia kweny msala fulan, nikiona itafaa nitaujumuisha huko mbele. Nilimpenda na kumpa good life la viwango vya juu. Acheni nyie
Kusamehe unakozungumzia wewe ni kumtamkia tu kwamba nimekusamehe au unamaanisha warudiane?Just wondering km Mwenyenzi Mungu angekua mgumu kutusamehe km ww unavyotia ugumu ingekuaje?
Una moyo Mgumu like you have never sin, and sad enough you are proud of it.
Hii sio revenge anymore huu sasa ni ukatili.
Pole sana mkuu, naombabuendelee kutuandikia mkasa mzima yaani huwezi amini nimeacha kazi zangu na vyote ili tu nimalizie huu mkasa wa mrejesho unaotupatia, walau kuna jambo nitajifunza toka kwako. Please malizia mkuuKuna watu humu wananiita mimi katili lakin wanasahau ukatili niliifanyiwa na huyu binti, mazee huyu binti nimewahi kumpa million 1 na laki 2 kwaajili ya kumsaidia kweny msala fulan, nikiona itafaa nitaujumuisha huko mbele. Nilimpenda na kumpa good life la viwango vya juu. Acheni nyie
Malipo ni hapa hapa Duniani naona unasifiwa sana kwa maamuzi yako ya kijinga.
Wewe ni mkamilifu sana usiekosea? Wewe toka umekua umekua faithfull hadi leo? Haukosei watu?
Hukumu na Malipizi ni ya Bwana. Utakumbuka siku moja ujumbe huu..
Hakuna aliyejitosheleza na Hakuna asiyekosea ndio maana ya neno Binadamu.
Asiyekosea ni Mungu tu.
I feel you broKuna watu humu wananiita mimi katili lakin wanasahau ukatili niliifanyiwa na huyu binti, mazee huyu binti nimewahi kumpa million 1 na laki 2 kwaajili ya kumsaidia kweny msala fulan, nikiona itafaa nitaujumuisha huko mbele. Nilimpenda na kumpa good life la viwango vya juu. Acheni nyie
Kwani nyie huwa hamfanyi revenge?Hata sisi tukipenda mnapaswa mtulie.
Kuna wanaume pia ni wasumbufu sana aisee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Piga post MOJA yenye rejeo loote...Mama wa binti alinipigia simu muda huo ni mwaka hivi umepita, akawa anasema kuna mwnaume amepatikana wa kumuoa binti yake ila binti hatak anaogopa usije ukaamua kumsamehe alafu ukarudi ukakuta ameolewa maana bado ananisubirj, hivyo anaomba niongee naye nimwambie nimeshaoa ikiwezekana mama atafinance ipatikane hata picha kwamba nimefunga ndoa alafu nimtumie binti ili moyo wa binti ukubali kuniachia, nikakataa. Akawa analia sasa yule mama kwenye simu, anaongea huku analia, daah huruma ikanijia hapa, nikamwambia sawa, sitaki afinance chochote ampelekee binti simu nitaongea naye na kama haamin hizo picha mimi nitamtumia, baadae nikaona sina sababu ya kumuonea huruma yule binti nikawaza nimpige tukio lingine hapa.
Nikawaza nimuite Yule binti ambaye ni rafiki yake aje, twende kwenye maduka ya nguo za harusi tukodi nguo ili tupigie picha alafu tuzitume hizo picha azidi kuonja joto la jiwe, nikiwa katikati ya mawazo hayo nikaona nimshirikishe yule mshkaji wangu hili wazo, jamaa alinisihi sana nisifanye hivyo akasema ninakoenda huko naenda kumpoka shetan majukumu yake namim ndo nitakalia kiti cha shetan sasa, maana shetan mwenyewe hayupo km mim endapo nitafkia huko.
Nikapima nikaona niachane na hiyo kitu, nikaongea na binti akawa anazid kuomba msamaha na haamin km ile anayoisikia ni sauti yangu eti, nakamwambia nishakusamehe ila mapenz mim nawew hakuna tena, nimekupigia simu hii baada ya mama yako kuniambia hutaki kuolewa eti unanisubiri mimi, nikamweleza mim nimeshaoa tayari na haiji kutokea ukaishi namimi tena, akajiliza liza pale akasema haamin hadi aone picha za harus labda ataamini, nikafanya mchakato wa hizo picha baada ya siku 2 nikamtumia.
Akasema ananipenda sana, na hana jinsi tu lakin yupo tayari awe mke wa pili au haya mchepuko kwangu kuliko kuolewa na mwanaume mwingine, nikamuona hanazo kabisa, nikaachana naye, nikamwambia mama yake nishafanya alichoniomba kufanya so naamin binti yake sas ataishi kwa amani alinishukuru sana. Nikamwambia fresh, akataka kunilipa nikamwambia aachane na hilo wazo la kipuuzi.
Maisha yakaendelea, nikasahau kabisa habari za yule binti ila alikuwa haishi kunitumia tumia msg, miaka takriban miwili ikapita nikapata mchongo fulan hivi kwenda Sweden kwa miezi minne, hiyo ilikuwa mwaka jana sasa mwezi wa 3, mwezi wa saba nikarud kuendelea na majukum yangu km kawaida. Nikawa naishi maisha yangu, fresh tu. No dem wala nin hapo.
Sasa nikasema nilete mrejesho mwaka jana hiyo baada ya kuona mambo yametulia tu fresh, nikaona sio poa kuwa kimya huku JF.. nilipanga kesho yake nianze kuandika sasa, usiku ule nikapokea simu, ni ya mwanaume aliyejitambulisha kuwa ni wa mume wa yule binti...
ITAENDELEA...
Ok, nitaandika moja na kumaliza kila kituPiga post MOJA yenye rejeo loote...
#YNWA
Sina muda wa kulipa kisasi.Kwani nyie huwa hamfanyi revenge?
#YNWA
Hiki kipande nimekipenda,(ulionesha maturity ya hali ya juu) it seems you're very smartTUENDELEE..
Mazungumzo na yule binti yakaanza huku tunakula, akasema amesikia kilichompata rafiki yake, cha ajabu huyu binti hakuonesha kusikitika bali alinipongeza kwa maamuzi yale ya kiume, na akasema anapenda mwanaume mwenye misimamo km mimi. Akanieleza jinsi alivyokuwa ananisaliti na yeye akawa anajaribu kumshauri sana kuhusu ile tabia mbaya lakin haikusaidia. Nayeye nikamuona ana mambo ya kipuuzi puuzi, km alikuwa anajua yote hayo kwanin hakuinterven kipindi kile kile, nikajua ni mbongo km walivyo wabongo wengine tu. Muda ukawa unaenda huku tukipiga story mara giza likaingia.
Nikamwambia aingie kweny gari nimpeleke kwake anakoishi akaanza mapozi yake ya kingese, mara ooh amefanya usafi amechoka, so anaomba apumzike kidogo pale kwangu, sijui nyumba kubwa km ile why aniache peke yangu, mara sijui nina mawazo meng so aniliwaze tupige story then ataenda, nilishajua anataka nin but nikawa namuona km ndezi tu maana sinaga muda na kufanya mapenz na mwanamke nisiye na mpango naye. Nikamwambia poa abaki muda wa kuondoka ukifika atasema, akaenda jikoni akawa yupo buzy na vyombo huko na usafi wa jiko. Mara saa 3 usiku hii hapa, binti yupo tu. Nikamshtua kuondoka akasema muda umeenda sana na pale kwao kuna geti na rafiki yake anayemfunguliaga geti hayupo akaomba abaki hadi kesho, nikamwambia fresh tu.
Nyumba yangu ni kubwa tu, nikampeleka chumba kingine akalale huko, namimi nikawasha gari kwenda kuangalia mechi ya Liver usiku ule, akaomba namba yangu kwamba usiku ikitokea shida iwe rahis kunishtua, nikaona sio shida. Nikiwa mpiran akawa ananitext msg za kijinga jinga, mara baridi mara sijui anaogopa na upuuzi mwing mwingi, mechi ilivyoisha nikarud nikampigia aje kinifungulia geti, akaja yupo na khanga moja akanikumbatia eti alinimiss, toto la kimbulu lile mashallah kweli kweli, tako km lina spring hivi, linanesa nesa ndani ya khanga, chuchu konzi, guu la haja, nikasema hapa pagumu leo, ila nikazimilia kwamba sitafuni huyu binti.
Tukaingia ndan, nikamuwish usiku mwema nikaingia chumban kwang, nikaoga then nikajipumzisha, haikupita muda bint akagonga mlango wangu, nikamfungulia, akaingia room kwang na akaniomba nimruhusu alale mule ndan kwangu maana kule anaogopa usiku ule na hawezi kupata usingizi, nikaona mtego huu ila lazima nikomae hata kifo nisimtafune Yule mtoto, maana nikimla itakuw kosa kubwa lazima afanye juu chini ijulikane then rafiki yake akijua atapata cha kusema kwamba nimemkazia kwa ajili ya yule rafiki yake.
Naapa kabisa kwa miungu yote yule binti sikumla siku ile, alilala ghetton kwang lakin lile jaribu nililishinda. Asubuh akaniandalia chai akasepa, akiwa njian akaniandikia text kwamba hajawahi kukutana na mwanaume wala kuwaza km kuna mwanaume mwenye msimamo km mim Dunian, akachanika wazi kwamba amenielewa, anaomba tufanye maisha, nikamuuliza vp kuhusu rafiki yake akijua, akadai rafiki yake sio ndugu, so tunaweza kuwa wapenz, nikaona ni upuuzi nikamwambia aachane na hiyo idea maana haiwezekani.
Akawa msumbufu, bahati nzuri muda wa mapunziko ukaisha nikarudi kazin, kwa kuwa Tanga nilikuwa tayari nimekamilisha mission iliyonipeleka sasa nikahamia morogoro kuendelea na mission ya majukumu yangu.
Nikiwa morogoro nikapata simu kutoka kwa mama wa yule binti....
ITAENDELEA...
Hongera sana kwa msimamo mwamba, pia kwa kukubali kupokea ushauri wa jamaa yako. Kisasi kinalipwa kama kawa ila still umeweza kuMaintain utu wako kiubinadamu u did wellMama wa binti alinipigia simu muda huo ni mwaka hivi umepita, akawa anasema kuna mwnaume amepatikana wa kumuoa binti yake ila binti hatak anaogopa usije ukaamua kumsamehe alafu ukarudi ukakuta ameolewa maana bado ananisubirj, hivyo anaomba niongee naye nimwambie nimeshaoa ikiwezekana mama atafinance ipatikane hata picha kwamba nimefunga ndoa alafu nimtumie binti ili moyo wa binti ukubali kuniachia, nikakataa. Akawa analia sasa yule mama kwenye simu, anaongea huku analia, daah huruma ikanijia hapa, nikamwambia sawa, sitaki afinance chochote ampelekee binti simu nitaongea naye na kama haamin hizo picha mimi nitamtumia, baadae nikaona sina sababu ya kumuonea huruma yule binti nikawaza nimpige tukio lingine hapa.
Nikawaza nimuite Yule binti ambaye ni rafiki yake aje, twende kwenye maduka ya nguo za harusi tukodi nguo ili tupigie picha alafu tuzitume hizo picha azidi kuonja joto la jiwe, nikiwa katikati ya mawazo hayo nikaona nimshirikishe yule mshkaji wangu hili wazo, jamaa alinisihi sana nisifanye hivyo akasema ninakoenda huko naenda kumpoka shetan majukumu yake namim ndo nitakalia kiti cha shetan sasa, maana shetan mwenyewe hayupo km mim endapo nitafkia huko.
Nikapima nikaona niachane na hiyo kitu, nikaongea na binti akawa anazid kuomba msamaha na haamin km ile anayoisikia ni sauti yangu eti, nakamwambia nishakusamehe ila mapenz mim nawew hakuna tena, nimekupigia simu hii baada ya mama yako kuniambia hutaki kuolewa eti unanisubiri mimi, nikamweleza mim nimeshaoa tayari na haiji kutokea ukaishi namimi tena, akajiliza liza pale akasema haamin hadi aone picha za harus labda ataamini, nikafanya mchakato wa hizo picha baada ya siku 2 nikamtumia.
Akasema ananipenda sana, na hana jinsi tu lakin yupo tayari awe mke wa pili au haya mchepuko kwangu kuliko kuolewa na mwanaume mwingine, nikamuona hanazo kabisa, nikaachana naye, nikamwambia mama yake nishafanya alichoniomba kufanya so naamin binti yake sas ataishi kwa amani alinishukuru sana. Nikamwambia fresh, akataka kunilipa nikamwambia aachane na hilo wazo la kipuuzi.
Maisha yakaendelea, nikasahau kabisa habari za yule binti ila alikuwa haishi kunitumia tumia msg, miaka takriban miwili ikapita nikapata mchongo fulan hivi kwenda Sweden kwa miezi minne, hiyo ilikuwa mwaka jana sasa mwezi wa 3, mwezi wa saba nikarud kuendelea na majukum yangu km kawaida. Nikawa naishi maisha yangu, fresh tu. No dem wala nin hapo.
Sasa nikasema nilete mrejesho mwaka jana hiyo baada ya kuona mambo yametulia tu fresh, nikaona sio poa kuwa kimya huku JF.. nilipanga kesho yake nianze kuandika sasa, usiku ule nikapokea simu, ni ya mwanaume aliyejitambulisha kuwa ni wa mume wa yule binti...
ITAENDELEA...
Yes jamaa alifanya vyema sana, nangojea kuona muendelezo atakaoutiririsha zaidi hapaHiki kipande nimekipenda,(ulionesha maturity ya hali ya juu) it seems you're very smart
Kanuni za uchumba salamaKuna watu humu wananiita mimi katili lakin wanasahau ukatili niliifanyiwa na huyu binti, mazee huyu binti nimewahi kumpa million 1 na laki 2 kwaajili ya kumsaidia kweny msala fulan, nikiona itafaa nitaujumuisha huko mbele. Nilimpenda na kumpa good life la viwango vya juu. Acheni nyie