Revealing: Nani wametoa vibali vya kuishi/kufanya kazi kwa watu hawa?

kikubwa nionancho mimi kila mtu afanyekazi kwa kujiamini tukiingalia hii serikali iliyo tutavuna mabua hawana jipya wamekalia kulia lia tu
 
Mleta mada rejea japo na jina kama si majina,ukweli ulio wazi unaonekana unayo ila sijui nini kimekusibu.
 
Tatizo hili ni kubwa sana kuliko hata tunavyolijadili hapa. Nilidhani ingekuwa mojawapo ya agenda za vyama vya upinzani. CHADEMA mnasemaje kuhusu hili tatizo?
 
Soon watazaa watoto wa kichina nadani ya TZ halafu watakuwa raia within 18yrs.Si najua miaka inavyokimbia?Kisha watapewa fund toka kwao ili wawekeze na kuingia katk siasa za nchi kwa style ya kuweza pigia upatu nchi mama ya wazazi na asili yao.

Wabongo si wanazamia nchi za watu bila kuwa na elimu ya kutosha,bila kuwa na malengo ya kitaifa,bila malengo hata ya familia,na jinsi ya kusaidia survival ya taifa,kabila, nchi etc.UK ilishafilisika long time ila waingereza wakio nje ndio wanaipa UK nguvu ya kutawala nchi nyingine ktk nyanja nyingi.Dhaifu hapo alipo pamoja na power yote aliyonayo sidhani kama kafanya chochote chenye malengo ch akuweza tuu si kuhakikisha survivala ya w.a.k.w.e.r.e ila hta familia yake.Kwani kwake kukusanya hela ndipo kukubwa.

Wenzetu watakuwa raia na watakuwepo kwa vizazi vingi bila ku dilute chinese blood kwa kiasi kikubwa, na kama waki dilute basi watakuwa wamelenga kuja pata faida baadaye,hasa likijatokea suala la kuwa na damu ya weusi.Ndio maana hata hood ana watoto wa mke mwafrika,huku uwekezaji wake mkubwa ukihamia mashariki ya kati.Hawa ndio watakuwa ngao yake inayosimama kupitia mradi wa mabasi,ila siku akipenda rudisha majeshi na kutaka wekeza maeneo mengine halafu kuna kelele,mwanae atachukua jukumu huku akifuata maelekezo ya nchi waishiyo nduguze.
 
kuna siku tbc na itv walirusha kipindi wakionesha waziri yle aliye owa miss tz akisema atahakikisha wameondoka du kumbe ilikuwa dili ndio wameongezeka sasa sio dar tu hata kwenye madini machimbo madogo ya dhahabu vijijini wako kibao....
nakushauri kama unataka kuajiri mtu wa nje ya nchi ...... sio tabu pesa yako tu nenda immigration utapatiwa kila kitu cha mtu kuwa raia
umesahau wa canada na wasouth a australia wapo migodini na wale wa visima vya gesi mtwara wapishi wao ni wa soth na kenya
 
kuna siku tbc na itv walirusha kipindi wakionesha waziri yle aliye owa miss tz akisema atahakikisha wameondoka du kumbe ilikuwa dili ndio wameongezeka sasa sio dar tu hata kwenye madini machimbo madogo ya dhahabu vijijini wako kibao....
nakushauri kama unataka kuajiri mtu wa nje ya nchi ...... sio tabu pesa yako tu nenda immigration utapatiwa kila kitu cha mtu kuwa raia

Hawa wachina ni kama kipindupindu au minyoo ikiingia nchi ya watu wachafu.Hata katika sheria kali huwa ni vigumu kuwaondoa, na wana backup ya serikali babe ya Uchina.

Sasa kama kuna rushwa na kujipendekeza basi imeshakuwa mbaya sana. Hawa jamaa watajijenga sana na watafikiwa mahali, hata wale waovu kabisa watakuwa na umuhimu kwa serikali ya uchina.

Wakifikia hapo mamabo yatakuwa very complicated kwani watakuwa hawagusiki na serikaliya uchina haitarudi nyuma, kusukumiza masalahi yao mbele,wafilipino na malaysia, wanalia sasa hivi.

China anawatishia waziwazi pamoja na umbalia waliopo.Loopholes zikiwa ni jamii tajiri za kichina kuzidi lipa nguvu taifa lao.
 
Wachina wanauza mpaka mbegu nje ya miji yetu, na wanakutana na watuw asiojua mamjukumu yao kitaifa, wasiojua hata nchi yao, wakati wachina wanajua wanachokita sasa hivi na miaka mingi ijayo.

Soon tutakuwa na jamii zilizochanganywa kifikra kama tuonavyo Tanga, Tabora, singida, na kwingine ambapo kuna machotara wachovu huku wanaojiona kuwa poor wachache wakitengeza pesa nyingi sana kupewa nafasi ya kuibia nchi na kurudisha mahusiano haramu na nchi walizotoka kama Ilivyo kwa Rostam.

Soom mtasikia wasomali, wahindi nao tayari, sasa wachina ndipo mtakoma.Watakuwa wakiua hata viongozi wetu wakileta kiwingu.

Hawa mawaziri wetu watakuwa kama mtu aliyepata hela ya madini na kuishiwa huwa wanamajibu ya kuchekesha sana kuelezea wapi hela yao imekwenda.
 
hawa wachina ni kama kipindupindu au minyoo ikiingia nchi ya watu wachafu.Hata katika sheria kali huwa ni vigumu kuwaondoa, na wana backup ya serikali babe ya Uchina.Sasa kama kuna rushwa na kujipendekeza basi imeshakuwa mbaya sana.Hawa jamaa watajijenga sana na watafikiwa mahali ,hata wale waovu kabisa watakuwa na umuhimu kwa serikali ya uchina.Wakifikia hapo mamabo yatakuwa very complicated kwani watakuwa hawagusiki na serikaliya uchina haitarudi nyuma,kusukumiza masalahi yao mbele,wafilipino na malaysia, wanalia sasa hivi.China anawatishia waziwazi pamoja na umbalia waliopo.Loopholes zikiwa ni jamii tajiri za kichina kuzidi lipa nguvu taifa lao.

wenzetu wanaakili wanajuwa wanafanya nini na wanamalengo kitaifa sio sisi hata huwezi amini kama viongozi wetu huwa wana mikutano yaani baraza la mawaziri nafikiri linaendeshwa kama tunavyoona bunge linavyokuwa cha maana hakina mwisho utasikia waziri mkuu atakuja na jibu kikao kijacho oooo ndio imetoka hio.
angalia wakuu wa mikoa wanafanya nini cha maendeleo kwenye maeneo yao kilimo kiko tofauti ar na shinyanga lakini tractor ni aina moja
hebu angalia zile pik pik ambulance zipo mahosipal hazifanyi kazi

 
Moja kati ya sababu baadhi ya wafanya biashara kuajiri watu wa nje ni uaminifu, lazima tukubali ukweli kwasababu tuyaona kila mahali katika mahoteli, wafanyabiashara wanajua ukweli wa maisha ila nao wanataka kufanya faida.

Tatizo ni serikali kutotengeneza ajira hata zile zilizokuwepo iliamua kuuza viwanda karibu vyote.Wachina hatuwawezi kwa sasa wao wanaendesha serikali za NCHI ZA Afiza sasa.
 
yaani hawa wachina wanakera xana ngepewa uraisi japo siku moja nngefukuza wote, wageni waje nchini kama wataalam wakishatoa ujuzi warudi kwao. pumbavu zao
 
Thanx very much, binafsi mimi naishi nao naona kama hawa waasia wamekuwa juu sana ktk hili. La ajabu kila mmoja ana polisi wake wa kumwita mara wanapogombana. Ukipita pale Golden Plaza utaona uchungu sana. Wao wamo ndani waafrika wamekaa NJE marangoni.

Vivyo hivyo maduka mengi tu. Ukienda ktk baadhi ya ofisi za serikali utawakuta wameanza nako. Lakini hawataki jeshi, polisi, ualimu vijijini au udaktari vijijini.

Nenda migahawa ya kichina, kule utawakuta hata sex servants wa kichina-Mgahawa Tangren (kule iliko nyumba ya rais maeneo ya moroko kuelekea victoria na kawe. Nadhani mtaa unaitwa UNUNIO au..Uuu, sikumbuki vizuri)

Please elekeza vizuri hayo maeneo, ninaapa sijawahi jaribu hio kitu yenye rangi tofauti, halafu forena, inaweza kuwa njia mojawapo kulipa huu unyonyaji na ubaguzi, nahitaji kuwa-service hawa binti wa kichina, please saidia
 
Tatizo kubwa ni mfumo wetu mzima,Wamejaa wageni kibao wanaofanya kazi hizi hizi ambazo tunao watu wengi wanaoweza kuzifanya.wakati mwingine hata ukiwa na nia nzuri itakula kwako.

Mfano kuna watu huwashtua Uhamiaji juu ya huu ujinga kinachotokea Uhamiaji linakuwa dili kwao wanapewa rushwa na mwisho wanamtaja mpaka informer wao.Kuna wakati hawa wawekezaji wanawapigia simu watu "wazito" kulalamika watu wao waliokinyume cha sheria "wanasumbuliwa" na uhamiaji na kinachotokea ni mkwara kwa wahusika na wanaambiwa waseme mfanyakazi gani kachongea! After somedays informer anafukuzwa kazi!

Kwenye mahoteli makubwa utakuta walinzi wa Kikenya! hakuna anayejali.Udanganyifu kwenye work permit uko wazi kabisa na wakati mwingine hao hao uhamiaji wanawaelekeza cha kufanya!

Mfano siku hizi kuna Wahasibu wa kigeni wanajiita Program Accountant,wanaleta Accounting package za kwao alafu wanaleta mtu hapa kama mtaalamu wake kumbe ndio Mhasibu huyo!

Uhamiaji wakati mwingine wanaingiliwa maamuzi yao na wakubwa kulinda 10% zao! mfumo wote umeoza! wazunguke maofisi ya Posta tu sasa hivi waone wahindi walivyojaa!
 

wenzetu wanaakili wanajuwa wanafanya nini na wanamalengo kitaifa sio sisi hata huwezi amini kama viongozi wetu huwa wana mikutano yaani baraza la mawaziri nafikiri linaendeshwa kama tunavyoona bunge linavyokuwa cha maana hakina mwisho utasikia waziri mkuu atakuja na jibu kikao kijacho oooo ndio imetoka hio.
angalia wakuu wa mikoa wanafanya nini cha maendeleo kwenye maeneo yao kilimo kiko tofauti ar na shinyanga lakini tractor ni aina moja
hebu angalia zile pik pik ambulance zipo mahosipal hazifanyi kazi


CCM ni wa kuondoa kwa nguvu kwani kwa ujinga walionao wandhani kwa vile wameshindwa hakuna mwingine atakayeweza.Wanajiona kuwa wao ndio cream ya nchi.

Ki ukweli CCM wajinga kweli hawajui behaviour za watu wa mataifa na jinsi ya kuwapa maeneo ya uwekezaji.Hizo ni policy za siri.Wachina unawapa mjin seheu wanapoweza kuwa tracked ingawa bado utawakuta wamefungua migodi ya siri vijijini.Na huwa hawapendi sana tembelea na wafanyakazi wa mamlaka za umma.Wakienda watu mmoja mmojahuwa vinawaua na kupikia mbwa maiti.
 
Hawa Wachina nafikiri kuna siri tusiyoijua na hawatoguswa hata kwa unyoya wa ndege!!!!
 
Please elekeza vizuri hayo maeneo, ninaapa sijawahi jaribu hio kitu yenye rangi tofauti, halafu forena, inaweza kuwa njia mojawapo kulipa huu unyonyaji na ubaguzi, nahitaji kuwa-service hawa binti wa kichina, please saidia

Wachina linapokuja suala la kitaifa huwa kwao hata haki za binadamu si kitu na mara nyingi haki za binadmau ani adui yao linapokuja suala la maslahi ya taifa.

Warusi nao walitumia sana malaya wa kwao na watoto mayatima waliopelekwa US kuweza jenga base ya espsionage na mapandikizi ya viongozi nje ya nchi.Wachina,wahindi, thai, Soviet countries na nchi nyingine amabyo imefikia mahalia pa kutoangalia tena haki za watu kama yalivyo maslahi ya taifa au ya wkaubwa wachache.hawa malaya watapata access kwa kila raia muhimu wa nchi.Mawaziri, wana usalama, wafanya biashara wakubwa, wake zao,, watoto wao etc na mwisho wa siku watajenga base ya kusaidia china vyema zaidi.Kwa ujumla uhalifu hunenepa sana katk hizi biashara,kwani ahta ungana silaha zinauzwa vyema deal ikichezwa katk madanguro na macasino.
 
Moja kati ya sababu baadhi ya wafanya biashara kuajiri watu wa nje ni uaminifu, lazima tukubali ukweli kwasababu tuyaona kila mahali katika mahoteli, wafanyabiashara wanajua ukweli wa maisha ila nao wanataka kufanya faida.

Tatizo ni serikali kutotengeneza ajira hata zile zilizokuwepo iliamua kuuza viwanda karibu vyote.Wachina hatuwawezi kwa sasa wao wanaendesha serikali za NCHI ZA Afiza sasa.

Uaminifu si wao waliupanda?Saa kama watoto wako na mkeo si waaminifu uta outsource majukumu yao kwa familia?Ki ukweli wachina hawatakai tena urafiki waliokuwa wakihubiri enzi zile za ukombozi kuwa hauna string attached.Sasa hivi wapo wazi wantaka tawala na hawapo tayari ku sacrifice chochote.Kama hakuna string attached ngoja siku tunaanda mikutano ya kimataifa halafu Dalai Ilama apenda kuja?uone waziri membe atakavyopanda haraka kusema kuwa hawezi pewa visa, au mkutano uhusu uhuru wa mataifa halafu Taiwan na hong kong wakitaka kura yetu ya kuwatambua uone huo mkwara utakaopigwa.

Hawa many`ang`au wa CCM wanadai kuw andie comrade wetu na hana string anazotuattach.
 
sasa ni wakati uhamiaji haramu iwe ni sera ya mojawapo ya vyama vya siasa
 
wanafanya yote hayo kwa nguvu ya fedha,fedhaaaaaa

uhamiaji wanajua sana, ila kila baada ya muda wanaenda kukinga na kuwaacha....
 
sheria za uhamiaji zipo lakini haziheshimiki mbele ya maslahi binafsi. Pole sana tanzania yangu
 
Back
Top Bottom