Wana JF,
Imefika wakati sisi wenye nchi tuseme ni akina nani, (tuwataje kwa majina pamoja na mambo mengine wanaofanya haya):
-Wanawanyima wazawa ajira na kuwapa wageni (hasa waasia) na wapi walipo. mf. masonara waasia weusi waliofungiwa mtaa wa Indira Ghandhi tujue ni nani (M-tz) kawapa kibali cha kufanya kazi hizo.
-Wachina wanaofanya kazi cha kuchoma magrill badala ya wazawa mf.kampuni ya Hu Tuo iliyoko Msasani. Je, sisi hatuwezi kazi hizo au tumalize madigirii yetu na kwenda kuajiliwa huko kwani nyumba karibia zote zinazojengwa Dar grill zinatengenezwa na wachina. Vile vile frem karibia zote ktkt mwa jiji zinarembeshwa na wachina!!!!!
- Wachina wanaosukuma mikokoteni nani kawaleta humu Tz kufanya hayo? Tunawajua: Jf tuwekeeni nafasi maalumu tuwataje hawa wa-Tz wenzetu wapenda rushwa huku wakituangamiza kwa kuwathamini wageni na kudhalilisha wazawa. Hawa wa-tz wasio na utu wenye kuangalia mifuko yao wakiisahau jamii yao nyuma.
-Waasia waliojificha huko viwandani keko/chang'ombe (nasikia sijawaona).
-Wakenya na waganda eti kwa kuwa wanajua kiingereza kutupita.
-Wachimba madini yetu, mf. nasikia huko Morogoro kuwa wanaojiita wamisionari lakini usiku ni wachimba madini yetu. Tuwataje kwa majina ili kumsaidia rais na kuzilinda mali zetu.
- n.k, n.k, n.k...
Imefika wakati sisi wenye nchi tuseme ni akina nani, (tuwataje kwa majina pamoja na mambo mengine wanaofanya haya):
-Wanawanyima wazawa ajira na kuwapa wageni (hasa waasia) na wapi walipo. mf. masonara waasia weusi waliofungiwa mtaa wa Indira Ghandhi tujue ni nani (M-tz) kawapa kibali cha kufanya kazi hizo.
-Wachina wanaofanya kazi cha kuchoma magrill badala ya wazawa mf.kampuni ya Hu Tuo iliyoko Msasani. Je, sisi hatuwezi kazi hizo au tumalize madigirii yetu na kwenda kuajiliwa huko kwani nyumba karibia zote zinazojengwa Dar grill zinatengenezwa na wachina. Vile vile frem karibia zote ktkt mwa jiji zinarembeshwa na wachina!!!!!
- Wachina wanaosukuma mikokoteni nani kawaleta humu Tz kufanya hayo? Tunawajua: Jf tuwekeeni nafasi maalumu tuwataje hawa wa-Tz wenzetu wapenda rushwa huku wakituangamiza kwa kuwathamini wageni na kudhalilisha wazawa. Hawa wa-tz wasio na utu wenye kuangalia mifuko yao wakiisahau jamii yao nyuma.
-Waasia waliojificha huko viwandani keko/chang'ombe (nasikia sijawaona).
-Wakenya na waganda eti kwa kuwa wanajua kiingereza kutupita.
-Wachimba madini yetu, mf. nasikia huko Morogoro kuwa wanaojiita wamisionari lakini usiku ni wachimba madini yetu. Tuwataje kwa majina ili kumsaidia rais na kuzilinda mali zetu.
- n.k, n.k, n.k...