Counsellor Sima
JF-Expert Member
- Jun 28, 2016
- 539
- 569
Ndo maana ya kuwa na Intelijensia bora, ndo kazi zao hizo, hata kama hatar ingekuwepo kwa Mama Samia pia asingeenda, angeenda mwingine ambaye hana madhara...hahaaaaaaaa nafurahi sana...haya yapo tuu sana na yanapita, viongoz wanapita, wanakuja wengine, lkn Securty ni jambo la msingi sana.