Msafirishaji
JF-Expert Member
- May 28, 2016
- 1,673
- 2,574
Una declare kuwa rais huwa analeta ndivyo sivyo kusema kasimamishwaMkuu hakuna mtu anaweza zuia msafara wa Rais , Ukiona raisi kasimama sehemu na anasalimiana na Raia jua fika hio haijatokea kwa bahati mbaya huwa inakuwa planned na Eneo hilo atalosimama linafanyiwa Clearance na Mpaka Wajiridhishe na Usalama wake basi ujue mkuu ndio atasimama ivi Cruiser iko 180km/h unaizuiaje mzee?