Revealed: Kikwete hutuma watu kuhujumu wenzao

Status
Not open for further replies.

nketi

JF-Expert Member
Feb 15, 2012
555
103
Kuna ukweli usiothibitishwa kuwa kuvunjika kwa baraza la mawaziri kwa mara ya pili ni mbinu za kikwete na maswahiba wake wa karibu kwa ajili ya kumake sure kila aliyekaribu yao anaonja utamu wa uwaziri au n/waziri au ukatibu mkuu. Inasemekana wakati wa kuvunja baraza la mawaziri kulikotokea baada ya lowasa kufukuzwa kutoka na mkashifa mbaya wa richmond ilikuwa mipango ya kikwete na alimtumia sitta na baadhi ya wana ccm wanaojiita wapambanaji kumsulubu ili apate nafasi ya kuwaweka wale waliokuwa amewaacha nje. Nasikia hata kuamua kuvunja baraza kulikotangazwa jana ni matokeo ya kikwete kuwatuma baadhi ya wabunge akiwemo rafiki yake kipenzi zitto na akina filikunjombe kwa kuwapanga na kuwapa data ili kulitikisa bunge ambako mwisho wa siku ni lazima wananchi waunge mkono na kutoa shinikizo na kuonekana kikwete hana namna ya kufanya zaidi ya kuvunja bunge. Inasemekana kikwete anajua tabia na kiwango cha ufisadi cha kila waziri ila huwa hana muda wa kuonya wala wa kuwachukulia hatua ila husubiri wakati uwaondoe ili apate nafasi za kiswahiba kumaliza ngwe yake....mara nyingi watu wengi wamekuwa wakisema kuwa kikwete niu mtu hatari sana kwa mustakabali wa nchi nilikuwa naamini nusu nusu tu. Lakini sana kwa jinsi nnavyoona mambo naona hatari tupu iliyoko mbele yetu iwapo kikwete ataendelea kuwa rais.... Na hii maana yake tuna rais kivuli"
nbawasilisha!
 
Kuna ukweli usiothibitishwa kuwa kuvunjika kwa baraza la mawaziri kwa mara ya pili ni mbinu za kikwete na maswahiba wake wa karibu kwa ajili ya kumake sure kila aliyekaribu yao anaonja utamu wa uwaziri au n/waziri au ukatibu mkuu. Inasemekana wakati wa kuvunja baraza la mawaziri kulikotokea baada ya lowasa kufukuzwa kutoka na mkashifa mbaya wa richmond ilikuwa mipango ya kikwete na alimtumia sitta na baadhi ya wana ccm wanaojiita wapambanaji kumsulubu ili apate nafasi ya kuwaweka wale waliokuwa amewaacha nje. Nasikia hata kuamua kuvunja baraza kulikotangazwa jana ni matokeo ya kikwete kuwatuma baadhi ya wabunge akiwemo rafiki yake kipenzi zitto na akina filikunjombe kwa kuwapanga na kuwapa data ili kulitikisa bunge ambako mwisho wa siku ni lazima wananchi waunge mkono na kutoa shinikizo na kuonekana kikwete hana namna ya kufanya zaidi ya kuvunja bunge. Inasemekana kikwete anajua tabia na kiwango cha ufisadi cha kila waziri ila huwa hana muda wa kuonya wala wa kuwachukulia hatua ila husubiri wakati uwaondoe ili apate nafasi za kiswahiba kumaliza ngwe yake....mara nyingi watu wengi wamekuwa wakisema kuwa kikwete niu mtu hatari sana kwa mustakabali wa nchi nilikuwa naamini nusu nusu tu. Lakini sana kwa jinsi nnavyoona mambo naona hatari tupu iliyoko mbele yetu iwapo kikwete ataendelea kuwa rais.... Na hii maana yake tuna rais kivuli"
nbawasilisha!

hope kwenye red tuko pamoja...na nasikia ana mpango wa kuwapa uwaziri wale ambao walishiriki kikamilifu kwenye ule mpango wa kuwang'oa!
 
Kuna ukweli usiothibitishwa kuwa kuvunjika kwa baraza la mawaziri kwa mara ya pili ni mbinu za kikwete na maswahiba wake wa karibu kwa ajili ya kumake sure kila aliyekaribu yao anaonja utamu wa uwaziri au n/waziri au ukatibu mkuu. Inasemekana wakati wa kuvunja baraza la mawaziri kulikotokea baada ya lowasa kufukuzwa kutoka na mkashifa mbaya wa richmond ilikuwa mipango ya kikwete na alimtumia sitta na baadhi ya wana ccm wanaojiita wapambanaji kumsulubu ili apate nafasi ya kuwaweka wale waliokuwa amewaacha nje. Nasikia hata kuamua kuvunja baraza kulikotangazwa jana ni matokeo ya kikwete kuwatuma baadhi ya wabunge akiwemo rafiki yake kipenzi zitto na akina filikunjombe kwa kuwapanga na kuwapa data ili kulitikisa bunge ambako mwisho wa siku ni lazima wananchi waunge mkono na kutoa shinikizo na kuonekana kikwete hana namna ya kufanya zaidi ya kuvunja bunge. Inasemekana kikwete anajua tabia na kiwango cha ufisadi cha kila waziri ila huwa hana muda wa kuonya wala wa kuwachukulia hatua ila husubiri wakati uwaondoe ili apate nafasi za kiswahiba kumaliza ngwe yake....mara nyingi watu wengi wamekuwa wakisema kuwa kikwete niu mtu hatari sana kwa mustakabali wa nchi nilikuwa naamini nusu nusu tu. Lakini sana kwa jinsi nnavyoona mambo naona hatari tupu iliyoko mbele yetu iwapo kikwete ataendelea kuwa rais.... Na hii maana yake tuna rais kivuli"
nbawasilisha!


I can smell your "GOD FATHER" in the current cabinet is being pushed out. Imeandikwa ole wake amtumainiae mwanadamu.....simama kwa miguu yako bro
 
habari nyepesi nyepesi....am not suprised kuikuta kwenye jukwaa la habari na hoja mchanganyiko.lau ingekuwa ni serious issue na data ndani yake isingekuwa huku.

By the way umejitahidi kusoma magazeti, utumbo wanaondika wengine kwenye diff threads ukaunganisha 1+1 ukapata 2 nawe ukaja na thread yako.

Kwa ushauri anyway, jifunze kutumia paragraphs katika uandishi wako ukizingatia mpangilio wa points zako. itasaidia kuwavuta watu kusoma hata kama utaandika page 100. hebu fikiria novel yoyote ambayo umewahi kuisoma, vipi ingeandikwa pasi na paragraphs wala chapters ingekuwaje usomaji wake, likewise ni kwa hizo hoja zako.

otherwise, i simply don't buy your ideas.
 
Amejitahidi kwa kila njia kumuhujumu Mwakyembe lakini Mungu anampigania.
 
Mleta uzi hana hoja ya msingi. Anachotaka kufanya ni kuonyesha Zitto na mwenzake Filikunjombe ni wanafiki na mawazo haya hayakuwa ya kwao.
 
Si sawa, Yeye anatakiwa kunyongwa kutokana na dhuruma zake kwa wananchi na si kuhujumiwa!
Wa kunyongwa nchi hii si yeye peke yake, wahujumu nchi hii ni wengi hawana idadi, nchi ilianza kufisidiwa na wananchi kuhujumiwa toka mwaka 1967 mpaka leo.. yani hata sijui watanzania wana roho ngumu kiasi gani!!!??

wapo watu leo wanaabudiwa na kusifiwa kwa mema walioitendea nchi hii huku ubaya wao ukigubikwa bila kuonewa haya.
Watanzania!!!

wapo waliotenda mema katika nchi hii, mazuri yao yalifunikwa na historia yao imepotea kwa sababu hawakuwa wenzetu!!
watanzania!!!

wapo waliofisidi kwa mlango mwingine na kisha wakawa wateule kwa mlango mwengine!!!
watanzania!!!

Hali hizo zimetufikisha kwenye ulemavu na utindio wa fikra, hatuwazi tunawaziwa, hatusemi tunasemewa, basi ikiwa kusoma hatujui basi hata mapicha yanatushinda kufahamu???

Iko siku itafika tutatambua kupembua mchele na pumba kwani sasa hatujui ni kipi tunakihitajia!!!

ndio maana kila jambo linakwenda msobemsobe kuanzia kwa raia mpaka mkuu wa kaya.
kwa maana hakuna anaeujua wajibu wake.

nimewafikishia ujumbe.
 
Noble liar! Ukweli ni kwamba JK hana uwezo wa kuongoza/kutawala.

kama hana uwezo wa kutawala mbona mlimchagua??

Siku nyingine mkome kuchagua rais based on popularity contest na mchague based on his/her track record kwenye ufanisi wa kazi
 
Kuna ukweli usiothibitishwa kuwa kuvunjika kwa baraza la mawaziri kwa mara ya pili ni mbinu za kikwete na maswahiba wake wa karibu kwa ajili ya kumake sure kila aliyekaribu yao anaonja utamu wa uwaziri au n/waziri au ukatibu mkuu. ............ Lakini sana kwa jinsi nnavyoona mambo naona hatari tupu iliyoko mbele yetu iwapo kikwete ataendelea kuwa rais.... "
nbawasilisha!

Kama unajua unachotawanya, wewe ni mtu hatari kweli. Kama hujui, basi Mungu akusamehe kwani umekwenda mbali kweli kweli. Jali nafsi yako, familia yako na waTz wenzako. Jadili, tukana kama unaweza, lakini usichonganishe au kupelekea uhaini. Wewe unasikia tu, tuulize tuliokaa nchi za watu walipojiletea matatizo kwa kuchoshwa kutumia njia ya kura. Mbona CDM tayari inashinda bwana? Vumilia tu na achana na hisia, kudhani, kujitia hofu.
 
Kuna ukweli usiothibitishwa kuwa kuvunjika kwa baraza la mawaziri kwa mara ya pili ni mbinu za kikwete na maswahiba wake wa karibu kwa ajili ya kumake sure kila aliyekaribu yao anaonja utamu wa uwaziri au n/waziri au ukatibu mkuu. Inasemekana wakati wa kuvunja baraza la mawaziri kulikotokea baada ya lowasa kufukuzwa kutoka na mkashifa mbaya wa richmond ilikuwa mipango ya kikwete na alimtumia sitta na baadhi ya wana ccm wanaojiita wapambanaji kumsulubu ili apate nafasi ya kuwaweka wale waliokuwa amewaacha nje. Nasikia hata kuamua kuvunja baraza kulikotangazwa jana ni matokeo ya kikwete kuwatuma baadhi ya wabunge akiwemo rafiki yake kipenzi zitto na akina filikunjombe kwa kuwapanga na kuwapa data ili kulitikisa bunge ambako mwisho wa siku ni lazima wananchi waunge mkono na kutoa shinikizo na kuonekana kikwete hana namna ya kufanya zaidi ya kuvunja bunge. Inasemekana kikwete anajua tabia na kiwango cha ufisadi cha kila waziri ila huwa hana muda wa kuonya wala wa kuwachukulia hatua ila husubiri wakati uwaondoe ili apate nafasi za kiswahiba kumaliza ngwe yake....mara nyingi watu wengi wamekuwa wakisema kuwa kikwete niu mtu hatari sana kwa mustakabali wa nchi nilikuwa naamini nusu nusu tu. Lakini sana kwa jinsi nnavyoona mambo naona hatari tupu iliyoko mbele yetu iwapo kikwete ataendelea kuwa rais.... Na hii maana yake tuna rais kivuli"
nbawasilisha!

Kwenye red pananitosha kuacha kuchangia hii mada!
No authority, no right to speak.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom