Revealed: Jumuia ya Madaktari waliotharika na mgomo ndio hii

kama noma na iwe noma!revenge is coming!Dr ulimboka ataibuka kutoka mapunzikoni.ha ha ha!

Forget about it dude, chezea kuminywa korodani wewe?
Hawa jamaa wanadhani kwamba ni wamoja kumbe ni zaidi ya wamoja. Njaa njaa njaa njaa!
 
Hujajibu hoja zao kuhusu kusalitiwa, ambalo ndio sababu kubwa ya wao kujua kuwa viongozi wa mgomo hawakuwa na nia njema...

Kwanza viongozi wote wa mgomo wameukana mgomo huo, sasa hawa interns wautambue vipi?
 
Huo sio ujasiri bwana, ujasiri ungekuwa ni kurudi mezani na kumalizana mezani kama equal parties. Lakini hiki walichokifanya ni cha kujionesha kwamba uelewa wao ni mdogo sana, yaani tangu mwanzo hawakujia kile walichokuwa wanakifanya.

Ina maana huamini kuwa kuna kutenda kosa?
 
The problem of the doctors is, they were so unrealistic on their claims. They failed from the start. I think they were driven with hatred towards jakaya government rather than what they were claiming for.
Kiki wapi. Mnafanya mambo kama watoto? Shame on you all. Where is your ulimboka now?
 
shame on you ccm..
What we see is the outcome of education system which teaches our children 'WHAT' to think instead of teaching 'HOW' to think.
 
The problem of the doctors is, they were so unrealistic on their claims. They failed from the start. I think they were driven with hatred towards jakaya government rather than what they were claiming for.
Kiki wapi. Mnafanya mambo kama watoto? Shame on you all. Where is your ulimboka now?
Ni kweli kaka, wengi walisukumwa na kisasi dhidi ya raisi
 
Huo sio ujasiri bwana, ujasiri ungekuwa ni kurudi mezani na kumalizana mezani kama equal parties. Lakini hiki walichokifanya ni cha kujionesha kwamba uelewa wao ni mdogo sana, yaani tangu mwanzo hawakujia kile walichokuwa wanakifanya.
Pro-Chadema hawawezi kufurahia maana mipango yao nikuchochea migomo ili nchi isitawalike bila kujali kama kuna watu wanapoteza maisha wala nini. Kwao kufikiwa kwa muafaka ni kinyume cha ajenda yao
 
Tatizo la Wasomi wengi wa Nchi hii ni waoga na wanafiki wakubwa...kisikia kunguru anakimbia nae anakimbia kuelekea asikokujua...Madaktari walisema huduma za afya ni mbovu hilo halina shaka wala huhitaji kuwa na PHD kulijua hilo...sasa ghafla hao hao jitu lingne linasema tunaomba msamaha tutatibu..sasa je vifaa tiba mlivyolalamikia vimeletwa?!! je wagonjwa sasa wanalalal mmoja kitandan au 4!! kama sivyo basi nyie ni wasomi njaa milikua mnacopy assignment za wenzenu mnafaulu kichwani peupeeee..ovyo kabisa,

swali la kujiuliza ni watu wangapi wanapata Tiba stahiki hapa Tz?!! wakubwa na mafisadi wao waaenda nje huduma ziko safi na bora nyie mnakalia kupiga mayowe tukasema labda mtakazia mafisadi wanunue vifaa wote tutibiwe hapa kwa uzuri kumbe nyie nao hovyo kabisaaa...yaani wanafiki kama nyie mbingu mtaisikia tu..

Tatizo WaTz ni wagumu sana!
serikali ikileta net tusiumwe na mbu tunasema zinapunguza nguvu za kiume, tunaacha kuzitumia, badala yake tunatumia kufuga kuku na kadhalika mbu wanatuuma tunajazana hospital halafu tunalalamika vitanda havitoshi! tuangalie kinacho sababisha twende hospital na vingine vinazuilika.

halafu madaktari kusema huduma ni mbovu sii sahihi maana hata hospitali zao za binafsi huduma ni mbovu vile vile the "difference is the same!" with the gov. hospitals. issue hapa ni maslahi, sote tunajua mshahara wanaopata na kazi wanayo fanya ma dacors wetu sii sahihi period!
 
Hivi si ndiye huyu Paul Swakala, aliyesema ameahidiwa ukuu wa walaya au siye huyu?..matatizo tupu huyu kijana!
Katika jamii yeyote huwezi kukosa wasaliti kama hawa hivyo ni vyema kwa madaktari kujua chuya ni zipi nategemea Dr .Ulimboka hajakaa kimya kwa MAKUSUDI ILA NINACHOJUA NI KWAMBA KIMYA KINGI KINA MSHINDO MKUU.
 
Hii ndo shida ya kuchanganya Politics na Professional Ukiplus na NJAA ndo kabisaaaaaaa........
 
Katika jamii yeyote huwezi kukosa wasaliti kama hawa hivyo ni vyema kwa madaktari kujua chuya ni zipi nategemea Dr .Ulimboka hajakaa kimya kwa MAKUSUDI ILA NINACHOJUA NI KWAMBA KIMYA KINGI KINA MSHINDO MKUU.

I think you are absolutely right mkuu MARUKENI, ngoja tuendelee kusibori yatayojiri.
 
Dr Ulimboka unamuonea, nini nani asiyejua alipigwa na serikali? sasa kuendelea kuongea maana yake unataka aendelee kukwaruzana na serikari? tayari imejulikana serikali haiko tayari kuyafanyia kazi madai yao, sasa aendele kwa lipi? na baba mwenye nyumba alikwisha sema si mfanyakazi wa serikali?

Ukijiulizzza Ulmboka yuko wapi?!! alipigwa nusra auwawe, taja sasa kilichotokea na kama kweli ile No ya simu unaijua naye kakaa kimyaa sasa hiyo akili matope..wakati huo watu walimchangia akaenda kutibiwa nje kisa hapa huduma hakuna!!!
 
teh teh teh teh........ mwizi akikiri ameiba kinachofuata ni hukumu" hapo ina maana madaktari walioomba msamaha imekula kwao?
Walidhani wamepata, kumbe wamepatikana. Kichwakichwa, kumbe jina la intern halifai kama lina maana ya mkurupukaji. Kwa nini wasiwaulize kaka zao? Nelson Mandela alisema mtu mashuhuri maisha yake ni machungu sana. Kwa nini wanywa muarobaini ilhali huumwi?
 
mkuu sijakuelewa unaposema mwenyekiti wa ccm wilaya ya kinondoni wakili makene? mimi mbona namjua m/kiti anaitwa ARON MWAIKAMBO! Thibitisha jina la nwenyekiti ili nitiririke maana nina ukweli unaohusu ushiriki wa m/kiti wa ccm (W) kinondoni ktk sakata hili ila si kwa jina ulilotaja hapo. thibitisha ili niweke ukweli wangu, maana hata mimi wamenikera sana hawa vijana kula matalishi yao

Uko sahihi mwenyekiti wa CCM Wilaya ya kinondoni ni ARON MWAIKAMBO. Sijui kwa nini mtoa taarifa katoa jina ambalo sio sahihi, inaleta mashaka.
 
Ubarikiwe sana Jackbaur kwa hilo bandiko hapo juu....Njaa mbaya sana unaweza uza familia hivi hivi....soon ukweli utajulikana.
 
Kumlaumu ulimboka ni kutomtendea haki, taarifa za wahusika wa kumfanyia unyama ule alizotoa wakati anpelekwa south mumezifanyia kazi? je taarifa za gazeni ila mwanahalisi mumezifuatilia kuhakikisha washukiwa japo wanakamatwa na kuhojiwa? kama watanzani tungekuwa na umoja kwa mambo ya kitaifa kama ule wa waislamu kudai wenzao waliogomea sensa waachiwe huru nina uhakika wahusika wa mateso ya Ulimboka wangekuwa kizuizini. Leo tunapiga porojo tu kwa mabo ya jamii yetu na kukomaa kwa mambo ya dini tu huku tukimlaumu ulimboka, kakosea nini?

Ukijiulizzza Ulmboka yuko wapi?!! alipigwa nusra auwawe, taja sasa kilichotokea na kama kweli ile No ya simu unaijua naye kakaa kimyaa sasa hiyo akili matope..wakati huo watu walimchangia akaenda kutibiwa nje kisa hapa huduma hakuna!!!
 
’Nasikitika kuona kwa jinsi gani ambavyo tunataka kukata tamaa, ambacho nataka kusema ni kitu kimoja, moja kati ya kada ambazo unasoma course unit nyingi kuliko kada yoyote ni udaktari, nasikitika kuona kwamba tunataka kuwa desperate na kuamini kwamba bila kutibu, bila kukutana na mgonjwa, bila kuajiriwa na serikali, there is no life, hiyo sio kweli kabisa, kama mlango mmoja utafungwa ninaamini kuna mlango mwingine utafunguliwa, nina uhakika kwa mtu ambaye amesoma degree iliyokamilika huwezi kukosa kibarua cha kukuweka mjini, nab ado maisha yataendelea kuwepo, na bado unaweza ukaishi vizuri hata kuliko utakapoingia kwenye kada hii ya kutibu…..huyu ni daktari Intern alokuwa akiwakilisha Mwananyamala kwenye mikutano ya …MAT’’’...

Huyu daktari kichwani hamna kitu yaani alisomea Medicine miaka yote hiyo ili aje awe mbangaizaji?

Au yeye labda ni familia bora anataka kuwachuuza wenzake?

Its pathetic!!!
 
Back
Top Bottom