DC wa Igunga Bi.Fatuma Kimario ameolewa na bwana Joseph Kimario kwa ndoa ya kikatoliki, ambaye huyu Joseph ni mzaliwa wa Wilaya ya Rombo Kilimanjaro kutoka kijiji cha Olel, kata ya Makiidi na Tarafa ya Mkuu . Huyu mumewe kwa sasa anaishi Mbezi Beach jijini DSM na wanajenga nyumba nyingine Tegeta jijini DSM .
Hii picha ni ya shamba la DC lililopo Tegeta katika nyumba yake na mumewe Kimario.
View attachment 37784