hawakosekanagi hao
itabidi ajifunze tu mkuu kuishi na watu vzr, pia serikaliTukubali tu kuwa Ruge alikuwa Ruge na Nchakali hawezi kuwa Ruge. Clouds haitopata Ruge mwingine ila itabidi wapate mtu mwingine wa kufanya nae kazi and thats Nchakali ama yoyote yule anaefaa.
Kwa muda kama huu nchakali anaweza kuiinua clouds kutokana na ubunifu wake na experience ya marketing aliyoipata SCANAD kama national director. Ila kuvivaa viatu vya Ruge ni ngumu kutokana na lifestyle yake plus sidhani kama ataweza kuwa na influence kwa serikali ama kuweza tu kuwa flexible kwa industries tofauti kama Ruge..
Reuben ndo umeamua kuja kujisifia hukuuu. Huko scanad si ukafanya mpaka Kampuni ikataka kupelekwa mahakamani kisa madeni ulivokuwa country manager kwa masaa hadi ukarudishwa cheo chako cha kutengeneza matangazo tu. Hebu wacha sifa zisizo na tija viatu vya Ruge utaweza wewe ndugu yangu????? Mwenzako alikuwa anaongea na kila mtu na anamskiliza kila mtu wewe kacheo tu ulichopewa scanad unawazungushia kiti watu hadi mkapoteza biashara yote kwa kampuni zingine... ukweli ni mwenye uwezo anaonekana ila sio wewe ndugu yangu. endelea kujisifia na wewe ukipewa kiti clouds mwaka tu nakuhakikishia wataondoka wote mmoja mmoja wateja hadi wafanyakazi kama walivooondoka scanad, labda kama umebadilika. Anyway hongera kwa kujisifu mkuuu sio kwamba nakusema ah ah..ila badilika ndugu yana ubrazameen mwingi sanaa huyu jamaa ndo ataiuaaa kabisa clouds, ila ndio vizuri maana anahitajika mtu mwingine tasnia ya redio atawale... natumai EFM na Times wanacheka huko waliko, huuu ndio muda wao eh bwana ehhh kweli Clouds maji ya shingo hadi huyu jamaa bogus bogus kapewa nafasi nyeti ka hiyo...tutaona kama utaweza kuendeleza mawasiliano ya Ruge..yetu macho labda ka ameokoka hehehehehe
itabidi ajifunze tu mkuu kuishi na watu vzr, pia serikali
huyo msamehe tu, ni HATER wa kiwango cha lamiKiwango cha PHD cha roho mbaya aisee
Ungeweka wazi alikosea wapi huko SCANAD ungetisha sana
Matangazo yote ya biashara kwa miaka 7 bado unasema aliishusha?
Tigo,Vodacom,cocacola,pespi,DSTV na mengine mengi bado unasema nini ?
Nina uwezo wa kumjuji mtu hata kwa ongea yake,nishawahi kumwona akihojiwa bado usela anao,CMG ni taasisi kubwa sio taasisi ya majaribio.kuna vitu unaweza ukawa hujui, hawa ni watu wawili tofauti kabisa, usijipe majibu kwa mtazamo wa nje, mbona hata mpaka piko nae anasemwa hivo hivo
Nina uwezo wa kumjuji mtu hata kwa ongea yake,nishawahi kumwona akihojiwa bado usela anao,CMG ni taasisi kubwa sio taasisi ya majaribio.
Ko umekosa hata ka picha ya 'ndege' kusindikizia uzi wako!!!?Nimepatwa na furaha sana baada ya kuona taarifa kwenye ukurasa wako wa mtandao wa Instagram ukiufahamisha umma/mashabiki kuwa kwa sasa umerejea CMG, Clouds Media Group, imekuwa furaha kwa wengi ila hofu kwa wengi pia.
Reuben Ndege almaarufu Nchakali, ulipikwa Clouds na jasiri marehemu Ruge ukawa zao bora na hatimae SCANAD wakaona hapana wakakukaribisha na kukupa nafasi uuoneshe uuma upande wako wa creativity uko vipi.
Ukiwa SCANAD ulipaza sauti na wachache hawakuelewa ila walioko kwenye tasnia ya Advertisement waliumia kichwa na kuwaza haya madini huyu mtu anayatoa wapi, Kampuni kubwa umeshiriki kuandaa kampeni za bidhaa kwa njia ya matangazo, Coca Cola, Vodacom, Tigo, Kvant, Chai Bora, etc.
Naweza sema uzalendo na Upendo ulionao Clouds ndio umekurejesha na ni heshima kwa Ruge huko aliko anatabasamu nakuona viatu vyake mvaaji amepatikana,sidhani kama umeangalia sana maslahi, kama ni maslah SCANAD naamin walikuwa na uwezo wa kukuretain kwa nafasi uliokuwa nayo na ungebaki ila la hasha.
Wengi walijiuliza viatu vya jasiri angevaa nani, na jina lako lilikuwa midomoni mwa kila mtu naona ule msemo wa Sauti ya watu ni sauti ya Mungu umejidhihirisha, kapambane na tukutakie kila kheri wale waliohisi Mawingu imefika Mwisho nadhani wameanza kuona ndio kwanza Imezaliwa upya.
Kila la heri Reuben Ndege (Nchakali).
IQ inatofautiana kila nyanja,kuna watu wana IQ kwenye mziki,wapo wenye IQ kubwa kwenye mpira akina Messi,wapo wenye IQ kubwa Darasani.So sio kwa sababu una IQ kwenye mziki basi,ukazani hata ukipewa kampuni utaweza kuiongoza.Tupac Ni moja kati ya viumbe wahuni kuwahi kutokea duniani ila haindoi maana kuwa Ni moja kati ya binadamu wenye IQ kubwa kuwahi kuishi chini ya jua
Ncha Kali ana usela gani? Meanwhile bado kijana ulitaka aongee kama Kabudi?
shangazoTupac Ni moja kati ya viumbe wahuni kuwahi kutokea duniani ila haindoi maana kuwa Ni moja kati ya binadamu wenye IQ kubwa kuwahi kuishi chini ya jua
Ncha Kali ana usela gani? Meanwhile bado kijana ulitaka aongee kama Kabudi?
Huu ndo uchawi sasaReuben ndo umeamua kuja kujisifia hukuuu. Huko scanad si ukafanya mpaka Kampuni ikataka kupelekwa mahakamani kisa madeni ulivokuwa country manager kwa masaa hadi ukarudishwa cheo chako cha kutengeneza matangazo tu. Hebu wacha sifa zisizo na tija viatu vya Ruge utaweza wewe ndugu yangu????? Mwenzako alikuwa anaongea na kila mtu na anamskiliza kila mtu wewe kacheo tu ulichopewa scanad unawazungushia kiti watu hadi mkapoteza biashara yote kwa kampuni zingine... ukweli ni mwenye uwezo anaonekana ila sio wewe ndugu yangu. endelea kujisifia na wewe ukipewa kiti clouds mwaka tu nakuhakikishia wataondoka wote mmoja mmoja wateja hadi wafanyakazi kama walivooondoka scanad, labda kama umebadilika. Anyway hongera kwa kujisifu mkuuu sio kwamba nakusema ah ah..ila badilika ndugu yana ubrazameen mwingi sanaa huyu jamaa ndo ataiuaaa kabisa clouds, ila ndio vizuri maana anahitajika mtu mwingine tasnia ya redio atawale... natumai EFM na Times wanacheka huko waliko, huuu ndio muda wao eh bwana ehhh kweli Clouds maji ya shingo hadi huyu jamaa bogus bogus kapewa nafasi nyeti ka hiyo...tutaona kama utaweza kuendeleza mawasiliano ya Ruge..yetu macho labda ka ameokoka hehehehehe
Kiwango cha PHD cha roho mbaya aisee
Ungeweka wazi alikosea wapi huko SCANAD ungetisha sana
Matangazo yote ya biashara kwa miaka 7 bado unasema aliishusha?
Tigo,Vodacom,cocacola,pespi,DSTV na mengine mengi bado unasema nini ?
Wako wapi leo hii hahahahKiwango cha PHD cha roho mbaya aisee
Ungeweka wazi alikosea wapi huko SCANAD ungetisha sana
Matangazo yote ya biashara kwa miaka 7 bado unasema aliishusha?
Tigo,Vodacom,cocacola,pespi,DSTV na mengine mengi bado unasema nini ?
Hahaha jisifu bwana usinimind sijanywa chaihuyo msamehe tu, ni HATER wa kiwango cha lami
Wako wapi leo hii hahahah
Pac ametokea wapi tenaIQ inatofautiana kila nyanja,kuna watu wana IQ kwenye mziki,wapo wenye IQ kubwa kwenye mpira akina Messi,wapo wenye IQ kubwa Darasani.So sio kwa sababu una IQ kwenye mziki basi,ukazani hata ukipewa kampuni utaweza kuiongoza.
Acha masihala usifananishe IQ ya kwenye mziki na kampuni vitu viwili tofauti,yaani na usela wako upewe kampuni kubwa kama CMG,we unazani CMG wajinga?
Pac na bange zake umpe kampuni aiongoze,hebu kuwa serious.