Returning citizen, upi ni utaratibu wa kupata TZ driving license?

Futota

JF-Expert Member
Dec 11, 2010
521
87
Wakuu wa JF,
Tafadhalini naomba nijulishwe upi ni utaratibu wa kupata driving license for a returning resident.
Je kuna haja ya kwenda driving school?
Ninayo driving license ya huko majuu
 
mkuu uku inategemea na mfuko wako. ukitaka driving school bila longolongo unapata pia tena fasta.
 
Wakuu wa JF,
Tafadhalini naomba nijulishwe upi ni utaratibu wa kupata driving license for a returning resident.
Je kuna haja ya kwenda driving school?
Ninayo driving license ya huko majuu

Karibu sana Kaka/Dada Futota
Bongo utaiweza kweli kama hapo kwenye Leseni tu kizunguzungu, maana naona bado issue za mashamba na viwanja, lazima upigwe

back to topic
Hakuna haja ya kwenda driving school, inachotakiwa kufanya ni wewe kwenda TRA wanapotolea Driving licence unachukua form, unajaza na pia unaweka daraja la leseni equivalent na la Tanzania,
kuna Trafic wa kuhakiki pale hivyo kwenye kile kitabiu chao hawataandika certificate number wala hawatahitaji "certificate of competence", watajaza 'Foreign" kisha utaenda kulipia na kufanya vipimo vya biometric, after 3 to 4 days unachukua leseni yako, haina haja ya dalali wala nini ni vitu rahisi na mwenyewe unaweza kufifanya
 
Last edited by a moderator:
Hehehe mkuu hata ungekua na leseni ya kubeba box huku driving licence ungepata ndani ya siku 3. Sema labda kama unataka kuendesha buses!
Karibu bongo.
 
Naona woote Mnazunguka mbuyu, Mimi nakuwa muwazi.... Utaratibu ni huu andaa Shs Laki Moja ..Basi
 
Wakuu wa JF,
Tafadhalini naomba nijulishwe upi ni utaratibu wa kupata driving license for a returning resident.
Je kuna haja ya kwenda driving school?
Ninayo driving license ya huko majuu

nitumie namba yako ya simu tuongee kinagaubaga.
 
Nakueleza kutokana na ilivyokuwa kwangu. Nina driver licence ya CA (USA) nilienda Pale Mayfair nikaomba maelezo, kilichofuata nikajaza form ya kuomba leseni upya kabisa kama mtanzania asiye na leseni sababu hawaitambui leseni yako ya nje. Unajaza form unalipia leaner permit kutokana na leseni daraja gani unataka, baada ya hapo next day unaenda pale police osterbay kwa matrafic watakuandikia gr form bila kufanya test sbb tayari ni dereva na una leseni. Baada ya hapo unarudisha form pale mayfair unalipia na kusubiri siku ya kuchukua leseni yako. Hizo njia za mkato sio nzuri in a long run. Sababu kuna mpango utafuata wa kuhakiki hizi leseni itakujq kukusumbuwa.
 
Nina driver licence ya CA (USA) .... nikajaza form ya kuomba leseni upya kabisa kama mtanzania asiye na leseni sababu hawaitambui leseni yako ya nje. Unajaza form unalipia leaner permit kutokana na leseni daraja gani unataka, baada ya hapo next day unaenda pale police osterbay kwa matrafic watakuandikia gr form bila kufanya test sbb tayari ni dereva na una leseni. Baada ya hapo unarudisha form pale mayfair unalipia na kusubiri siku ya kuchukua leseni yako. Hizo njia za mkato sio nzuri in a long run.
Umesema leseni yako ya nje haitambuliki, unatakiwa kuomba upya kama Mtanzania asiye na leseni, na utapewa "leaner permit." Halafu unasema hautafanya test kwa sababu tayari ni dereva na una leseni.

Kwa hiyo umeenda California, umeishi mpaka ukapata leseni, unarudi nchini hujui kuandika, hujui kujieleza, hujui the most basic of logic, hujui chochote. Hukupata nafasi ya kujisomesha hata high school ya California?

Unasema tusifuate njia za mkato lakini wewe umelipia "leaner permit" japo hukwenda kufanya learning yeyote wala testing. Hiyo njia imenyooka?
 
mkuu we ukija nipatie dola 50 tu narekebisha fasta.. hakuna cha driving school hakuna usumbufu within a day nakupa .. haha hahaa (joke).

..nahisi taratibu zilizopo huwa zinavunjwa tu kwakuwa wakati mwingine ni ngumu kuzifuata na zinagharimu muda. Unaweza kuipata kwa kutumia shortcut lol
 
Ni PM tufanye mambo ,nakuhakikishia kupata ndani ya masaa 24

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
nitumie namba yako ya simu tuongee kinagaubaga.

Natumia licence yangu ya FL na nimeshasimamishwa na askari mara nyingi tu hapo mjini na mikoani na kila nikiwaonyesha license yangu ya boksi sijasumbuliwa wala kuulizwa nibadilishe. Nitaendelea kuitumia hii hii
 
Asante sana mkuu kwa ufahamisho huu.
Nilikuwa nahofia labda itanibidi nirudi tena driving school.
Hii ni poa sana! easy!
By the way, Je TRA ya pale Sinza wanafanya shughuli hii? au ni hadi niende kule posta-stesheni?


Karibu sana Kaka/Dada Futota
Bongo utaiweza kweli kama hapo kwenye Leseni tu kizunguzungu, maana naona bado issue za mashamba na viwanja, lazima upigwe

back to topic
Hakuna haja ya kwenda driving school, inachotakiwa kufanya ni wewe kwenda TRA wanapotolea Driving licence unachukua form, unajaza na pia unaweka daraja la leseni equivalent na la Tanzania,
kuna Trafic wa kuhakiki pale hivyo kwenye kile kitabiu chao hawataandika certificate number wala hawatahitaji "certificate of competence", watajaza 'Foreign" kisha utaenda kulipia na kufanya vipimo vya biometric, after 3 to 4 days unachukua leseni yako, haina haja ya dalali wala nini ni vitu rahisi na mwenyewe unaweza kufifanya
 
Hapana mkuu,
Leseni ndogo tu nahitaji, at least niweze kuendesha taxi bubu
:)

Hehehe mkuu hata ungekua na leseni ya kubeba box huku driving licence ungepata ndani ya siku 3. Sema labda kama unataka kuendesha buses!
Karibu bongo.
 
Thanks so much mkuu for the info.
Nami nitapita hapo Mayfair plaza kufanikisha hili


Nakueleza kutokana na ilivyokuwa kwangu. Nina driver licence ya CA (USA) nilienda Pale Mayfair nikaomba maelezo, kilichofuata nikajaza form ya kuomba leseni upya kabisa kama mtanzania asiye na leseni sababu hawaitambui leseni yako ya nje. Unajaza form unalipia leaner permit kutokana na leseni daraja gani unataka, baada ya hapo next day unaenda pale police osterbay kwa matrafic watakuandikia gr form bila kufanya test sbb tayari ni dereva na una leseni. Baada ya hapo unarudisha form pale mayfair unalipia na kusubiri siku ya kuchukua leseni yako. Hizo njia za mkato sio nzuri in a long run. Sababu kuna mpango utafuata wa kuhakiki hizi leseni itakujq kukusumbuwa.
 
Back
Top Bottom